Juwaine
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 624
- 170
Arsenal ni kabila langu.
Tena kabila mzaa baba
Arsenal ni kabila langu.
Ahsante mkuu mimi napenda mpira na Arsenal ni timu nnayoipenda sana.
Ila mimi sikucheza sana mpira lakini nnacho kipaji cha kuchambua wachezaji na hivi karibuni nimejiunga na mascouts walio na kazi ya kutafiti wachezaji.
Tatizo wachezaji wa kutoka Afrika kwa sasa ni vigumu sana kupenya labda waende kwa mpangp wa baadhi ya watu walio na connections kwenye timu za Ulaya.
Lakini kwa muda wote ambao nimeishi katika bara la Ulaya nimejifunza u-scout wa kutafuta vipaji vya wachezaji.
Hivyo nikiwa uwanjani pamoja na kwamba naisupport Arsenal lakini pia huwa naangalia new edition against the established na ndio kilichotokea leo.
Dogo Reece leo ndio ilikuwa ndio mechi yake ya kwanza ya ligi kuu ya Uingereza na ameonyesha kwamba anaweza kukabiliana na watu kama Ozil pale kwenye kiungo.
Pia leo yeye alikuwa ndie DM wa West Ham.
Ukuzaji wa vipaji na ukaviendeleza ndio njia pekee ya kuwa na timu imara yenye wachezaji walozoeana.
Lakini ikifika wakti fulani unatakiwa uangalie na uzoefu pia na juzi tu Henry amemwabia Wenger kwamba Giroud sio mmaliziaji mzuri na inabidi Wenger amsajili Benzema, amemwambia ukweli bosi wake wa zamani.
Hivyo kama kweli Benzema yupo London hivi sasa, basi atakamilisha usajili wiki hii.
Watachonga kweli, ila wakumbuke ni ka game ka kwanza, wazushi balaa aise...
Ahsante mkuu mimi napenda mpira na Arsenal ni timu nnayoipenda sana.
Ila mimi sikucheza sana mpira lakini nnacho kipaji cha kuchambua wachezaji na hivi karibuni nimejiunga na mascouts walio na kazi ya kutafiti wachezaji.
Tatizo wachezaji wa kutoka Afrika kwa sasa ni vigumu sana kupenya labda waende kwa mpangp wa baadhi ya watu walio na connections kwenye timu za Ulaya.
Lakini kwa muda wote ambao nimeishi katika bara la Ulaya nimejifunza u-scout wa kutafuta vipaji vya wachezaji.
Hivyo nikiwa uwanjani pamoja na kwamba naisupport Arsenal lakini pia huwa naangalia new edition against the established na ndio kilichotokea leo.
Dogo Reece leo ndio ilikuwa ndio mechi yake ya kwanza ya ligi kuu ya Uingereza na ameonyesha kwamba anaweza kukabiliana na watu kama Ozil pale kwenye kiungo.
Pia leo yeye alikuwa ndie DM wa West Ham.
Ukuzaji wa vipaji na ukaviendeleza ndio njia pekee ya kuwa na timu imara yenye wachezaji walozoeana.
Lakini ikifika wakti fulani unatakiwa uangalie na uzoefu pia na juzi tu Henry amemwabia Wenger kwamba Giroud sio mmaliziaji mzuri na inabidi Wenger amsajili Benzema, amemwambia ukweli bosi wake wa zamani.
Hivyo kama kweli Benzema yupo London hivi sasa, basi atakamilisha usajili wiki hii.
Yu nou bwana zei sei it iz sayantifikali posibo ende vere ize tu breki ze briji zan chuwing ze hama.Yu jast nidi ze bombu to bluw ze daraja,bat haw abauti chuwing ze nyundo?!haw du yu meki zat ayan hama e switi ende delishaz hambaga?
Kufungwa leo nadhani kuna mkono wa Mourinho na Roman Abromovich inawezekana wametuma Cech kutuvuruga lol.
Dah afadhali hatupo wa mwisho
Check Cech Wacha1 Wacha wee...