Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kutereza si kuanguka. Tutarudi tunapostahili muda si mrefu na kulibeba kombe. Makosa yatasahihiswa kesho. Muda wenu kucheka na kufurahia kutereza kwa tembo...

everlenk, Belo, Bavaria, Nzi, mentor and compay.

ngapi ngapi?
 
Kutereza si kuanguka. Tutarudi tunapostahili muda si mrefu na kulibeba kombe. Makosa yatasahihiswa kesho. Muda wenu kucheka na kufurahia kutereza kwa tembo...

everlenk, Belo, Bavaria, Nzi, mentor and compay.
Mna tatizo la kipa leteni hela tunao wengi tunauza Valdes,De Gea,Lindergard muwahi kabla wenzenu hawajachukua
 
Timu inaposhinda hatuna budi kuipongeza.

Hakuna kitu nilichovutiwa leo kama uchezaji wa huyu mtoto aitwae Reece Oxford.

Leo alimweka mfukoni Mesul Ozil ambae aliigharimu Arsenal paundi milioni 42

2B3A063800000578-3191191-image-m-62_1439127712886.jpg

Reece Oxford akimkabili Ozil

2B3A0EAF00000578-3191191-image-m-60_1439127678217.jpg

Reece Oxford ana umri wa miaka 16
 
What if asiposajili?
Utazisikia hizi mtu ambazo zina "Matumaini" zikiimba "Wenger out, wenger oouutt!!"

Ukweli Wenger alikuwa na wachezaji wa kushinda hii mechi ya leo lakini baadhi ya wachezaji hao amewaingiza baadae wakiwa wameshanyolewa 2-0.

Upangaji wa Timu ndio umeumiza moyo wa Rubaman na Juwaine leo.

All credit to West Ham, walifika pale wakiwa na nia ya kushinda au kutoa upinzani wa kiwango cha juu.

BAK unahitajika kufika huku ili uzie hizi "kcuf" zinazotoka midomoni mwa mashabiki wenye hasira, waliokuwa wakinywa bia baridi huku wanaangalia "mabingwa" watarajiwa wakifanya mambo yao.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
aisee inauma sana umebakwa, umetolewa bikra, umepigwa goli mbili, umepewa mimba na umeambukizwa ukimwi ............
 
Timu inaposhinda hatuna budi kuipongeza.

Hakuna kitu nilichovutiwa leo kama uchezaji wa huyu mtoto aitwae Reece Oxford.

Leo alimweka mfukoni Mesul Ozil ambae aliigharimu Arsenal paundi milioni 42

2B3A063800000578-3191191-image-m-62_1439127712886.jpg

  • SHARE PICTURE

Copy link to paste in your message









Reece Oxford akimkabili Ozil

2B3A0EAF00000578-3191191-image-m-60_1439127678217.jpg

Reece Oxford

Naomba nikumbushe jina la yule dogo alievaa jezi namba 8.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Timu inaposhinda hatuna budi kuipongeza.

Hakuna kitu nilichovutiwa leo kama uchezaji wa huyu mtoto aitwae Reece Oxford.

Leo alimweka mfukoni Mesul Ozil ambae aliigharimu Arsenal paundi milioni 42

2B3A063800000578-3191191-image-m-62_1439127712886.jpg

Reece Oxford akimkabili Ozil

2B3A0EAF00000578-3191191-image-m-60_1439127678217.jpg

Reece Oxford ana umri wa miaka 16
Oxford ameonyesha kiwango cha juu, tatizo ni muingereza, watampamba mpaka ataharibika kabla hajagonga 20!
 
Kweli Tumewaona mabingwa wa msimu mmeanza ligi kwa ushindi wa kishindo

Mabingwa mtatuona tukianza kutoa dozi baada ya dozi. Leo jamaa walituotea tukiwa choo cha makuti Mwananyamala kisiwani.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Naomba nikumbushe jina la yule dogo alievaa jezi namba 8.

Yule kiungo mshambuliaji (attacking midfielder) anaitwa Cheikhou Kouyate ndie aliefunga goli la kwanza.

Ni mmoja wa viungo wa timu ya taifa ya Senegal.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
aisee inauma sana umebakwa, umetolewa bikra, umepigwa goli mbili, umepewa mimba na umeambukizwa ukimwi ............

bila kusahau nyumbani kwako na kwenye kitanda chako!
ila maisha yanaendelea, Arv zipo na inasemekana mtoto akiwa mkubwa atakuwa rais wa nchi.
 
Ehehehehehehehe rubaman kwema hapa ndugu yangu ehehehehehehehe

Jamani mmemtoa bure yule Mpoland wenu kwa kikongwe huyu ehehehehehehe poleni sana!Kumbukeni tarehe 24 MAJOGOO yanakuja kukuchapa hapo hapo kwako

Nasubiri nione Stoke City watakavyowafanya na nyie. Kipa wetu alikuwa nervous lakini atajirudi mechi ijayo. Mpolish alikuwa wa mtu wa SELFIE'S tusubiri tuone atakavyofanya Italy.
 
Mabingwa mtatuona tukianza kutoa dozi baada ya dozi. Leo jamaa walituotea tukiwa choo cha makuti Mwananyamala kisiwani.

bado mapema mno, imeniuma kuwa tumefungwa nyumbani tu, ila ndo kwanza marathoni imeanza kisha watu wameanza na spidi ya usain bolt.
 
Back
Top Bottom