Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sema si mbaya LES GET BACK UP najua itakua poa.....ushujaa uanzaga kama utani
 
Washabiki wa wa timu ya Arsenal wasipoupata ushindi ndani ya Arsenal watautafuta kwa timu nyingine... Manake Arsenal sio mama yao wala baba yao... 😀😀
 
2B3A061000000578-3191132-Kouyate_rises_high_to_beat_summer_signing_Petr_Cech_to_the_ball_-a-125_1439130763474.jpg


Cech mate! Six years so far hatujashinda opening game ya EPL .... ... .
3 points loss .... ...... ......
 
2B39E8F700000578-3191132-Arsenal_midfielder_Santi_Cazorla_finds_himself_surrounded_by_Wes-a-73_1439126225684.jpg


Carz in action .... ..

2B3A03F400000578-3191132-image-a-77_1439126414964.jpg


2B3A616F00000578-3191132-image-a-5_1439132349956.jpg


OG was knocked out ..... ..

2B3A063800000578-3191132-image-m-8_1439132527359.jpg


Ozil and a 16 year old boy .... .....

2B39E89B00000578-3191132-image-a-63_1439125600565.jpg


Ox .... ...

2B39FDEE00000578-3191132-image-a-65_1439125713475.jpg


2B3A09B200000578-3191132-image-a-96_1439127565622.jpg



2B39FD8A00000578-3191132-image-a-68_1439125811738.jpg


Prof was angry at the referee after a soft free kick which resulted in a goal ....

2B3A789200000578-3191132-image-a-18_1439135534988.jpg


Cech was not at his best ... ..... ..

 
Siku ya kwanza man poa Chelsea si mbaya liver nao ndo safi ila Arsenal nani katuroga mbna hivi yani hivi huyu Wenger anampango gani?? Hivi anajisikiaje kuitwa prof of failure, daah sio siri sizani kama anajisikiaje akiwa anajizungumza mbele ya watoto wake marafiki zake juu ya career yake....anashindwa ata kujifunza tokea kwa kina fargie yan huyu mzee amekaa mda mrefu England lakini sijui ni Experience gani anajivunia kama si kusanda gani daaah....(wacha niweke akiba)

Ni kweli heri uweke akiba ya maneno maana na jpili ni kimbembe pale kwa palace usije maliza maneno leo jpili ukakosa ya kuongea. Ila narudia usemi wako "tusikimbiane tu"
 
Kati ya watu wa ukweli wa soka kwenye jukwaa la sports hapa JF, wewe ni mmoja wa watu hao.

Morgan ni mashine inayofanya kazi ambayo watu wasio wa soka hawawezi kuiona na kuielewa kazi yake.

Saluti pia kwa kuwa muwazi na kukubali kile dogo Oxford alichokifanya kwa Masoud.

Chifu, saluti kwa kuongea kama mpenzi wa soka, na siyo mnazi wa klabu ya soka.

Ahsante mkuu mimi napenda mpira na Arsenal ni timu nnayoipenda sana.

Ila mimi sikucheza sana mpira lakini nnacho kipaji cha kuchambua wachezaji na hivi karibuni nimejiunga na mascouts walio na kazi ya kutafiti wachezaji.

Tatizo wachezaji wa kutoka Afrika kwa sasa ni vigumu sana kupenya labda waende kwa mpangp wa baadhi ya watu walio na connections kwenye timu za Ulaya.

Lakini kwa muda wote ambao nimeishi katika bara la Ulaya nimejifunza u-scout wa kutafuta vipaji vya wachezaji.

Hivyo nikiwa uwanjani pamoja na kwamba naisupport Arsenal lakini pia huwa naangalia new edition against the established na ndio kilichotokea leo.

Dogo Reece leo ndio ilikuwa ndio mechi yake ya kwanza ya ligi kuu ya Uingereza na ameonyesha kwamba anaweza kukabiliana na watu kama Ozil pale kwenye kiungo.

Pia leo yeye alikuwa ndie DM wa West Ham.

Ukuzaji wa vipaji na ukaviendeleza ndio njia pekee ya kuwa na timu imara yenye wachezaji walozoeana.

Lakini ikifika wakti fulani unatakiwa uangalie na uzoefu pia na juzi tu Henry amemwabia Wenger kwamba Giroud sio mmaliziaji mzuri na inabidi Wenger amsajili Benzema, amemwambia ukweli bosi wake wa zamani.

Hivyo kama kweli Benzema yupo London hivi sasa, basi atakamilisha usajili wiki hii.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom