Juwaine
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 624
- 170
Boya wewe ongea sasa
Mi mbona boya tena boya haswa
Boya wewe ongea sasa
Easy tu jus football
Siku ya kwanza man poa Chelsea si mbaya liver nao ndo safi ila Arsenal nani katuroga mbna hivi yani hivi huyu Wenger anampango gani?? Hivi anajisikiaje kuitwa prof of failure, daah sio siri sizani kama anajisikiaje akiwa anajizungumza mbele ya watoto wake marafiki zake juu ya career yake....anashindwa ata kujifunza tokea kwa kina fargie yan huyu mzee amekaa mda mrefu England lakini sijui ni Experience gani anajivunia kama si kusanda gani daaah....(wacha niweke akiba)
Kati ya watu wa ukweli wa soka kwenye jukwaa la sports hapa JF, wewe ni mmoja wa watu hao.
Morgan ni mashine inayofanya kazi ambayo watu wasio wa soka hawawezi kuiona na kuielewa kazi yake.
Saluti pia kwa kuwa muwazi na kukubali kile dogo Oxford alichokifanya kwa Masoud.
Chifu, saluti kwa kuongea kama mpenzi wa soka, na siyo mnazi wa klabu ya soka.
Washabiki wa wa timu ya Arsenal wasipoupata ushindi ndani ya Arsenal watautafuta kwa timu nyingine... Manake Arsenal sio mama yao wala baba yao... 😀😀