Sanchez huenda akaanza mechi na Palace na Walcott akawa CF.
Wekbeck nae ameanza mazoezi tayari kujiunga na kikosi cha kwanza.
Kikosi kinachotarajiwa kuanza mechi.
Theo, Alexis, Ozil, Ox, Coq ,Santi, Monreal Kos Gabriel Bellerin Cech.
Wenger aliharibu taratibu wa siku zote kwamba Ozil anacheza namba 10 na Cazorla namba 8 nyuma ya Ozil.
Utaratibu huu unamfanya Cazorla awe huru zaidi pale katikati kutengeneza vyumba na pia Ozil kuweza kufungua maneo mbalimbali ndani ya back four ya timu yoyote ile.
Kwenye mechi na West Ham Cazorla alicheza pembeni kulia na Ozil alicheza pembeni kushoto. Ni poale tu Theo Walcott na Sanchez walipoingia kipindi cha pili ndio Arsenal wakaanza kucheza ule mtindo wao ingawa ilikuwa ndio tumechelewa.
Arsenal wamekuwa wakitumia huu mfumo tangia msimu ulopita na wakaundeleza kwenye mechi za Pre-season lakini wakaidharau West Ham na kuvuruga timu na matokeo yake tumeyaona.
Come on You Gunners!!!