Nimemsikiliza wenger,ata tukichukua ubingwa bado sitompenda wenger,wakat anamjib henry kuhusu karim kaishia kusema i do believe i do believe,wtf coach unatakiwa useme i know,mara giroud ajtahd afkshe magor 20,ozil 10,walkot 10 then tunachukua ubingwa,,huyu babu hajiamn na ndoo maana hata wachezaj hawajiamn,kila siku anasema wachezaj wake hawana confidence wakicheza na big teams?nadhan aende kwa josee amfundshe kijenga motivations
thanks for courageous words though it painswe will bounce back COYG
Siku ya kwanza man poa Chelsea si mbaya liver nao ndo safi ila Arsenal nani katuroga mbna hivi yani hivi huyu Wenger anampango gani?? Hivi anajisikiaje kuitwa prof of failure, daah sio siri sizani kama anajisikiaje akiwa anajizungumza mbele ya watoto wake marafiki zake juu ya career yake....anashindwa ata kujifunza tokea kwa kina fargie yan huyu mzee amekaa mda mrefu England lakini sijui ni Experience gani anajivunia kama si kusanda gani daaah....(wacha niweke akiba)
shost waulize vp mbn kimya..Poleni jamani
shost waulize vp mbn kimya..
Siku ya kwanza man poa Chelsea si mbaya liver nao ndo safi ila Arsenal nani katuroga mbna hivi yani hivi huyu Wenger anampango gani?? Hivi anajisikiaje kuitwa prof of failure, daah sio siri sizani kama anajisikiaje akiwa anajizungumza mbele ya watoto wake marafiki zake juu ya career yake....anashindwa ata kujifunza tokea kwa kina fargie yan huyu mzee amekaa mda mrefu England lakini sijui ni Experience gani anajivunia kama si kusanda gani daaah....(wacha niweke akiba)
Ndugu zetu hawa wanaitaji faraja kabla hawajachukua maamuzi magumu ya kujidhuru.
Kwa huu msiba mimi nitajitolea kulala hapa
Pole kijana nakuhurumia na Yale maneno yako uliyokuwa unaongea sana una Bahati leo sina mood ya kigodoro.... cute b malizana na huyu,unamkumbuka ?
Tuko na safari ya matumaini tutashinda...............