barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
Kufungwa leo nadhani kuna mkono wa Mourinho na Roman Abromovich inawezekana wametuma Cech kutuvuruga lol.
tusitegemee makubwa sana kwa Cech kama mabeki hawakabi! Maimu ulopita Manu walibebwa na De Gea ila walioshia wa nne sababu ya mabeki wabovu.