kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,849
- 3,065
da arsenal tunapgwa home inauma
Mabingwa wa msimu huu tutaanza kesho. Mliopata own goal mtajuta sana...
Arsenal amelala tayari.
Wakuu wa Gunners kama ada vijana wanaanza mtanange in few hours, kila mburukenge yupo gado anakodolea mechi yetu, Alexis atapata some minutes, Ox yupo vile vile Rambo Ozil et al, mwaka huu tutawanyoa tu, hata kama hawataki. Bring them on .... ..... .... Ding ... ... Dong.
COYG
Arsenal team kubwa, naona wote leo mmehamia jukwaa hili.
Tehe! Wenzake wako sokoni wanahemea yeye mikono mifukoni huku anapiga mruzi akitegemea jioni atakula.wenga anajifanya hasajili, acha apate kichapo
What the *** hii timu bhana
What the *** hii timu bhana
D.M hawapo tena, mpaka mwakani, labda a panic buy! Morgan fit the bill ila ndo keshachukuliwa, ILA ni mapema sana, ndo mechi ya kwanza ila ni reality cheque kuwa kikosi sio bora sana.Timu bado sana Wenger inabidi akamilishe usajili wa DM na msambuliaji very soon.
Goli la kwanza ni kosa la Cech na Kouyate akajifungia goli kiulaini akidhani Kouyate ametoa nje.
![]()
Goli la pili ni kosa la Coquelin na akamwachia Zaarate apige shuti umbali wa mita 30!
~![]()
Coquelin akimwangalia Zarate anapiga shuti.
Mzee Wenger aache kututania kwani pesa tunayolipia tiketi ni nyingi sana.
~![]()
Hakuna muda wa kuwaza unafahamu ni wachezaji gani tunahitaji ingia sokoni fanya manunuzi.