Mabingwa wa msimu huu tutaanza kesho. Mliopata own goal mtajuta sana...
Fucccck mechi ya kwanza tunalala hivi
Mwaka huu unaangalia game pembeni ukiwa na ndovu bila pressure
Pressure ya nini na vijana wanampiga mtu gori zaidi ya moja..... hapo zinateremka taatibuu
What the *** hii timu bhana
Maumivu ya kichwa, huanza pole pole!!
Tumia HEDEX!
Sauti safi, sauti kubwa, Philips, Ndio Yenyewe.
Nunua redio ya Philips kwa sauti safi na isiyo na chenga (kama Arsenal).
Hii mwaka ina muziki muneneee!!