Manda
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 2,071
- 306
Unauliza honi Ubungo terminal?, ni GOLI!ni nini hicho jamani?
Unauliza honi Ubungo terminal?, ni GOLI!ni nini hicho jamani?
Tehetehe huyo ndo kipa wa Mbu na Beki wa Balatanda..Lol!
Tehetehe huyo ndo kipa wa Mbu na Beki wa Balatanda..Lol!
Huyu Refa mwehu sasa..aaargh
Aah wapi, mpira wapigwa umeanza kumuvu ndo jamaa ananyanyua mkono juu, unless mie naangalia Udaku TV.ile ni kitu ya kawaida tu baba,hivi wewe hujaona kwamba jamaa kafunga kwanza refa ndo aonesha mkono kuruhusu mpira upigwe halafu baadaye akubali goli...anywaysa kama ipo ipo tu,mpira ni dakika 90 na thank God tuna goli la ugenini tayari....Ila Ferdnand sio beki baba,bora hata Campbell,mara mia
...hata usiseme aiseee, huyu Fabianski mnnnhhhh
Balantanda acha tu bro,..Fabianski katutenda kweli leo
duuuuh....😀 "nacheka kwa uchungu!"
Kwenye listi ya maref wa sauz yupo tayari....huyu refa ndio aliyekubali goli la France dhidi ya Ireland,...maskendeli matupu...I hope FIFA watampumzisha.
Weshaniharibia kahawa yangu hapa...
Porto mchekea hawa,...Emirates tutawafunga tu.
Wacha1; usisingizie kimyakimya staili, tuma posts hapa..msisubiri mpigwe na la tatu ndo mtafute mchawi ni nani.
Huyu refa kawabeba sana Fat Arse, Fabreagas anaanguka hovyohovyo anapewa faulo!Wacha1; usisingizie kimyakimya staili, tuma posts hapa..msisubiri mpigwe na la tatu ndo mtafute mchawi ni nani.
Kwenye listi ya maref wa sauz yupo tayari.