Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Back pass kwa kipa unategemea nini kwa refarii? Foul ......Fabiansk angekuwa na akili asingekabidhi mpira ule kirahisi wakati anaona hawajaweka ukuta. Nina hakika Jens Lehmannhttp://rds.yahoo.com/_ylt=A1f4cfsza...zc3rTet8aWWGUqAAAAA%40%40&fr2=sp-qrw-corr-topangeupiga mbali na angelamba kadi ya njano....nyie watoto mtakuwa lini???
Zishakuwa hadithi hizo(game imeisha tumefungwa bana)...Tuzungumzie game ijayo tu bila kuisahau yenu na Nerazzurri