Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

297239D200000578-0-image-a-1_1433780614444.jpg


Pod anarejea ... .... Italy kumegoma.
 
297239D200000578-0-image-a-1_1433780614444.jpg


Pod anarejea ... .... Italy kumegoma.

Duh sijui kwa nini uyu jamaa natamani apate mafanikio kokote aendako na akirejea hakika babu atamtoa tena kwa mkopo kama vipi arudi zake kwao akapambane tu.
 
Usajiri!!

Najisikia vibaya kuwa na tetesi nyingi sana kuhusu nani wa kumnunua halafu tunasubiri mpaka tano usiku siku ya mwisho ndio tunajua tumempata nani!!!!.Tutaendelea kulea watoto mapaka lini!!?? We need 2 or three player to boost our squad!! Wataalamu wote wa soka duniani wanamwambia babu unahitaji wawili au watatu uchukua kombe,lakini yeye utamskia Ahh majeruhi wamepona sina haja ya kusajiri!! Inaniuma sana!!.Wenye uwezo wa kuwasiliana naye mwambieni tumechoka kusikia ndugu zetu wengi hasa afrika wakifa kwa ajili ya chama hiki!!!
 
29826CAC00000578-3118361-image-a-1_1433948323295.jpg


Good luck Abou ... ..... very talented but injuries cost
his place in todays fast moving sport.

Other players off-loaded Jack Jebb,
Oluwasemilogo Adesewo Ajayi, Austin Lipman, Ryo Miyaichi, Brandon Ormonde-Ottewill, Josh Vickers. Hivyo tutegemee prof kununua wachezaji kadhaa na kuwaingiza dogo's kutoka kwenye academy .... ...... ..



 
Mkuu wachezaji wako insured kama wameumia malipo yanalipwa kutoka kwenye insurance. Its not a Mickey-mouse business.

But still club zinalipa the insurance packages ambazo si cheap.... Kwa maana hiyo mambo ni yale yale unless kama kuna conditions(contractual) za kuwa mchezaji aliyeumia halipwi 100% ya mshahara wake.
 
29826CAC00000578-3118361-image-a-1_1433948323295.jpg


Good luck Abou ... ..... very talented but injuries cost
his place in todays fast moving sport.

Other players off-loaded Jack Jebb,
Oluwasemilogo Adesewo Ajayi, Austin Lipman, Ryo Miyaichi, Brandon Ormonde-Ottewill, Josh Vickers. Hivyo tutegemee prof kununua wachezaji kadhaa na kuwaingiza dogo's kutoka kwenye academy .... ...... ..




Diaby alikuwa one of my favorite lakini majeruhi yameharibu future yake....Chipukizi (Academy) mara nyingi wachache sana ndiyo wanapanda daraja. Miyaichi alinunuliwa kukuza Arsenal base Japan na far east, nilidhani Semi Ajay atapandishwa daraja baada ya kukaa benchi baadhi ya mechi msimu huu. Anyway ndiyo nature ya hii biashara sio kila aliye katika academy atawin.
 
But still club zinalipa the insurance packages ambazo si cheap.... Kwa maana hiyo mambo ni yale yale unless kama kuna conditions(contractual) za kuwa mchezaji aliyeumia halipwi 100% ya mshahara wake.

Rubaman Wacha fujo, hakuna timu inayowalipia wachezaji Insurance. Wachezaji wote hawapewi contract hadi wawe na professional indemnity insurance. Hata contract workers wanayo hiyo kutokana na contract works chungulia hilo. Angalia Mesi wanavyo mnyanyasa sasa kule Spain ile kampuni yake ili-dodge kulipa kodi. Tena wote wana-operate as private companies ndio njia ya kukwepa kodi kubwa.
 
Back
Top Bottom