Hongereni wanangu wa London.. tukutane kwenye ngao.
Wapi wale #mburukenge ambao kila tukifungwa wanataka Wenger afukuzwe ? Yeah namaanisha #mburukenge toka kambi yetu, wanaofuata lolote liandikwalo,lisemwalo,lililo popular, wanaotaka the flavor of the month type of manager apewe mikoba ya Wenger, wapo wapi ? Wapo wapi wale walio tayari kulaumu , kudhihaki kuzomea kocha na baadhi ya wachezaji particularly Giroud kuwa sio mchezaji mzuri na kutaka auzwe ili anunuliwe mchezaji fulani sababu tu pundit Rick Abdallah alisema hivyo juzi luningani sijui dstv , tbc,itv ctn,dtv blahblah tv. Mbona hatuwaoni wakiongea yao ya mioyoni ? Msisubiri August - December kuja kubwabwaja muda wa kuongea ni huu..Ni hayo tu. Endapo nimewaumiza au kuwakwaza Kumradhi.
Hahahaha naona leo umeamua kutoa dukuduku lako...
Kwahiyo wanataka Tony Adams aje kuchukua mikoba ya Wenger? lol
Giroud anajitahid, ila si class ya arsenal, sio mchezaji wa kumtegemea kuwa tunaweza pata kombe la ligi au uefa kwa mabega yake, wenger anapaswa kuongeza nguvu, naiman atalifanyia kazi hilo.
Haya ndio ninayosema. As if ubingwa unaletwa na mfungaji mmoja peke yake. Soka ni mchezo unaoshirikisha wachezaji 11 katika kila timu.Kwa vile the so called pundits wanasema hivyo juu ya Giroud haimaanishi kuwa ni kweli kuwa haiwezi kutokea.Hata tukiwa na kina Messi, CR7, Aguero kama timu haichezi kitimu hatutafika popote
Kwa timu yenu ya sasa kumpa lawama Giroud ni kutokuitendea haki ligi nzima ya Premiership
Labda mimi sijui... huyo jamaa ana makosa gani? au afanye nini ili ndio "washabiki wafurahi"
Wanataka awe anafunga kama Christiano? £80m -£100m wanaweza kutoa kuleta mtu kama huyo?