Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila kila mtu anayaogopa majogoo 11 vs 11!! Hata leo walikuwa 11 vs 10!! khe khe khe khe
 
Dua zangu tuwafunge chelsea maana mou kuna karekod anataka kukatengeneza ka kipuuz
 
Ndugu zangu wapiga mishale nawatakia soka njema Jumamosi!Hamna haja ya kukimbiana matokeo yakiwa siyo mazuri

11 Majogoo na 11 warusha Jambia hawanifungi popote pale rubaman BAK Wacha1 DonDonald

Haya bana ... ..... ... khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeenaona easter yako itakuwa poa, andaa tu easter eggs ... ... .. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
gun__1428159942_giroud.jpg


Mambo ya Emirates hayo .... ...
Next Away to Burnley ... ... .. #COYG
 
gun__1428043937_Giroud_Wenger_POM_MOM_pic.jpeg


Mwezi March tumeshinda mechi zote ..... ... April imeanza vizuri . .... ..
prof aliwaambia vijana anahitaji 24 points kwa mechi 8 zilizokuwa zimebaki
sasa tupo 6 games away ... .. thats the only thing we can do ... .#COYG
... .​
 
COYG

Bomba sana, na kama tukiendelea hivi hivi, you never know!
 
hata man u walikuwa wanasema hivyo hivyo ila kilichowatokea walibakia kumlaumu Welbeck

Tuwe wakweli hata mioyoni mwetu. Arsenal kumfunga Man U kwenye kombe la FA halikuwa jambo la ajabu. Wakati Wenger alishusha kikosi cha kulipa kisasi cha kufuta uteja wa karibia decade, Van Gaal yeye akapanga kikosi ambacho hata Aston villa, Liverpool, Spurs wangekifunga. Ufupi ni kwamba FA haikuwa target ya Van Gaal mawazo yake yote aliyaelekeza kwenye mechi 6 ngumu za ligi kuu na matunda yameonekana.

Arsenal ilishindwa kukifunga kikosi cha David Moyes itaifunga Man U hii ya Spurs, Liverpool, Aston villa hiyo ni ndoto ya mchana.
 
Tuwe wakweli hata mioyoni mwetu. Arsenal kumfunga Man U kwenye kombe la FA halikuwa jambo la ajabu. Wakati Wenger alishusha kikosi cha kulipa kisasi cha kufuta uteja wa karibia decade, Van Gaal yeye akapanga kikosi ambacho hata Aston villa, Liverpool, Spurs wangekifunga. Ufupi ni kwamba FA haikuwa target ya Van Gaal mawazo yake yote aliyaelekeza kwenye mechi 6 ngumu za ligi kuu na matunda yameonekana.

Arsenal ilishindwa kukifunga kikosi cha David Moyes itaifunga Man U hii ya Spurs, Liverpool, Aston villa hiyo ni ndoto ya mchana.

Maneno hayadondoki Kwani na yatabaki kwa server hii subiri tuone kwa Arsenal hii ilioko kwenye ubora wake Sijuiiii, #teamGunnerzForever
 
Jamani yule jogoo alichinjwe jana pale emirate ataliwa leo siku ya pasaka karibuni sana
 
Tuwe wakweli hata mioyoni mwetu. Arsenal kumfunga Man U kwenye kombe la FA halikuwa jambo la ajabu. Wakati Wenger alishusha kikosi cha kulipa kisasi cha kufuta uteja wa karibia decade, Van Gaal yeye akapanga kikosi ambacho hata Aston villa, Liverpool, Spurs wangekifunga. Ufupi ni kwamba FA haikuwa target ya Van Gaal mawazo yake yote aliyaelekeza kwenye mechi 6 ngumu za ligi kuu na matunda yameonekana.

Arsenal ilishindwa kukifunga kikosi cha David Moyes itaifunga Man U hii ya Spurs, Liverpool, Aston villa hiyo ni ndoto ya mchana.

rooney
di maria
herrera
de gea
fellaini
valencia
jones
blind
smalling...wote hawa hawakuwa kikoc cha kwanza co
 
Back
Top Bottom