Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

11096554_10152998617382713_3413656769892683942_n.jpg
 
Safi sana BAK kwa hayo ma snap...! Hakika chama linafamya vizuri!!!
 
Last edited by a moderator:
Bado kuna ugumu mbele ya safari ila motivation ya kufanya vizuri katika mechi zilizobaki ni kubwa sana na sasa confidence ya wachezaji imeongezeka zaidi baada ya matokeo ya hivi karibuni ikiwemo yale ya OT na Monaco na wachezaji ambao walikuwa majeruhi wanaweza kuwepo katika baadhi ya mechi zilizobaki. Chelsea wakizembea mechi zao mbili au tatu na sisi kufanya vizuri katika mechi zetu zote zilizobaki basi inaweza kabisa kula kwao.

Safi sana BAK kwa hayo ma snap...! Hakika chama linafamya vizuri!!!
 
Bado kuna ugumu mbele ya safari ila motivation ya kufanya vizuri katika mechi zilizobaki ni kubwa sana na sasa confidence ya wachezaji imeongezeka zaidi baada ya matokeo ya hivi karibuni ikiwemo yale ya OT na Monaco na wachezaji ambao walikuwa majeruhi wanaweza kuwepo katika baadhi ya mechi zilizobaki. Chelsea wakizembea mechi zao mbili au tatu na sisi kufanya vizuri katika mechi zetu zote zilizobaki basi inaweza kabisa kula kwao.


Mkuu siku tukija hapo Emirates utashangaa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Khe khe kheeeeee nasikia yule Da Costa eti msimu wake ndio umeisha kwa kuumia jana?

Ngoja nifatilie mkuu lkn hilo halitufanyi tushindwe kukufunga wewe hapo Emirates
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Keep on dreaming Mkuu Ntuzu


Diego Costa had to pull out of the Spanish squad for their recent internationals and just like the last time he withdrew from the selection, Costa was asked to travel to Spain so the country's officials could decide for themselves what was wrong. It's not something which is particularly picking on Costa or Chelsea players, Spain ask the same of everyone. However, an unnecessary flight to Spain and back perhaps isn't the best solution for chronic hamstring problems.
Costa broke down in the match against Stoke City on Saturday and that's clearly bad news for Chelsea - just how bad that news is depends on scans but Jose Mourinho thought he'd be without the player for a couple of weeks. Spanish newspaper Marca reckon it could be more like a month, which perhaps holds truth especially when Costa's special hamstring situation is considered.
Should Chelsea rush Costa back then they could do further damage, toward the end of last season Atletico Madrid rushed him back a couple of times from the same injury situation and in the end Costa's fitness suffered and his participation in the Champions League final was token at best. Chelsea have five games over the next month in the Premier League, they face Manchester United on April 18th and it would surely be reckless to return for that. Gambles sometimes pay off but they often don't.

Ngoja nifatilie mkuu lkn hilo halitufanyi tushindwe kukufunga wewe hapo Emirates
 
Last edited by a moderator:
Keep on dreaming Mkuu Ntuzu


Diego Costa had to pull out of the Spanish squad for their recent internationals and just like the last time he withdrew from the selection, Costa was asked to travel to Spain so the country's officials could decide for themselves what was wrong. It's not something which is particularly picking on Costa or Chelsea players, Spain ask the same of everyone. However, an unnecessary flight to Spain and back perhaps isn't the best solution for chronic hamstring problems.
Costa broke down in the match against Stoke City on Saturday and that's clearly bad news for Chelsea - just how bad that news is depends on scans but Jose Mourinho thought he'd be without the player for a couple of weeks. Spanish newspaper Marca reckon it could be more like a month, which perhaps holds truth especially when Costa's special hamstring situation is considered.
Should Chelsea rush Costa back then they could do further damage, toward the end of last season Atletico Madrid rushed him back a couple of times from the same injury situation and in the end Costa's fitness suffered and his participation in the Champions League final was token at best. Chelsea have five games over the next month in the Premier League, they face Manchester United on April 18th and it would surely be reckless to return for that. Gambles sometimes pay off but they often don't.

Mkuu Chelsea hatutegemei mtu mmoja tu ndio awe anafunga! Nafikiri hii itakua furaha kwenu! Lkn kwetu ata Ivanovic atawafunga!

Nimeshaweka kambi humu BAK sasa.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom