Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Honey Faith akihakikisha ushindi basi huwa hakosei, ila sijaridhishwa na kiwango cha uchezaji anao anao nyingi sana hasa tunapokuwa kwenye goli la WH. Kwa kiwango hiki sidhani kama tutaweza kuwafunga Monaco 3-0 kwao hiyo March 17, 2015.

Umeona eeeh na toka nije kwenu ushindi ni lazima.Mtoto nina kismat atiii!!😀
 
Last edited by a moderator:
Sasa Honey Faith uwe unazuka kila mechi basi ili utuletee kismat chako tangu uje tunashinda tu, ukiweza kuzuka hapa katika mechi zote 9 zilizobaki hivyo kushinda zote na kujinyakulia 27 points tutatisha sana na hivyo kuziweka roho juu timu zilizo mbele yetu.

Umeona eeeh na toka nije kwenu ushindi ni lazima.Mtoto nina kismat atiii!!😀
 
Last edited by a moderator:
Shukrani nawaombea nanyi kila la heri ili mfanikiwe kutoa draw ili tuwe juu yenu kwa 3 points, mkifungwa itakuwa nomaa na si mechi rahisi wale Spurs siku za karibuni wamekuwa tishio.

Hongereni sana
 
Back
Top Bottom