Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Sasa Honey Faith uwe unazuka kila mechi basi ili utuletee kismat chako tangu uje tunashinda tu, ukiweza kuzuka hapa katika mechi zote 9 zilizobaki hivyo kushinda zote na kujinyakulia 27 points tutatisha sana na hivyo kuziweka roho juu timu zilizo mbele yetu.
Hata nisipozuka ila sala zangu ni kama nipo tu na nyie.Hapa furaha tele
Last edited by a moderator: