Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa Honey Faith uwe unazuka kila mechi basi ili utuletee kismat chako tangu uje tunashinda tu, ukiweza kuzuka hapa katika mechi zote 9 zilizobaki hivyo kushinda zote na kujinyakulia 27 points tutatisha sana na hivyo kuziweka roho juu timu zilizo mbele yetu.

Hata nisipozuka ila sala zangu ni kama nipo tu na nyie.Hapa furaha tele
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
11070917_10152937698472713_5988721008479079378_n.jpg
 
Hahahahahaha lol!!! ungewaambia mwambieni ni Utafiti wa JF angeamka mwenyewe usingizi wote ungemruka 🙂🙂

Sawa nitashukuru maana huyu utafiti ananibania.

Umeona eeeh tatizo muoga anamuogopaga mama yangu ni mkali balaa si ajabu hata hakuniulizia😀
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha lol! utafiti aliniambia mama yako ana maswali magumu, "Nimwambie nani baba?" Mwambie Utafiti mama anaongeza swali lingine "Wewe ni mkwe wangu, mnafanya kazi pamoja, au kwa kifupi mkojemkoje?" Maswali kama haya lazima Utafiti asepe haraka sana badala ya kupata kigugumizi "Baba mbona hujibu maswali yangu? Umepata kigugumizi?" "Ngoja nikuletee maji ya kunywa labda utaweza kuyajibu" hahahahahaha lol! Chezeya mama yake Honey Faith weye!!!

Sawa nitashukuru maana huyu utafiti ananibania.

Umeona eeeh tatizo muoga anamuogopaga mama yangu ni mkali balaa si ajabu hata hakuniulizia😀
 
Back
Top Bottom