Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

zp_541144649_SM_1359_6E_2387D8_2867.jpg



zp_541144649_SM_5938_A7_2387FB_7998.jpg


Arteta is back training

zp_541144649_SM_5963_37_238802_3943.jpg



zp_541144649_SM_5947_62_2387FE_2012.jpg


COYG all the best J1 Emirates against West Ham

Arsenal used to be a French few years ago now it's a part English and part Spanish.
 
BAK na utafiti sijui niwaombee njaa tu au? Lakini dua la everlenk halimpati BAK.

Kila la heri best zangu katika mechi ya leo.
[MENTION=10470]everlenk bado tu hujasahau maumivu?? Mbona wiki sasa inaisha, hahah binafsi nakuombea wewe kesho ushinde ili wale wajuu ushindani uwe mzuri zaidi, sisi mda si mrefu tunaongeza points 3
 
Last edited by a moderator:
Kila la heri nawe unahitaji ushindi ili watu pale OT waweze kutabasamu maana wamenuna mpaka wanaonekana wazee kwi kwi kwi kwi kwi Dua la everlenk halimpati BAK ila linampata Mupenzi wa Chelsea 🙂🙂🙂...Sijui kama Nzi atakuja leo huku au ataamua kuchungulia kimya kimya.

BAK na utafiti sijui niwaombee njaa tu au? Lakini dua la everlenk halimpati BAK.

Kila la heri best zangu katika mechi ya leo.
 
Last edited by a moderator:
Kila la heri nawe unahitaji ushindi ili watu pale OT waweze kutabasamu maana wamenuna mpaka wanaonekana wazee kwi kwi kwi kwi kwi Dua la everlenk halimpati BAK ila linampata Mupenzi wa Chelsea 🙂🙂🙂...Sijui kama Nzi atakuja leo huku au ataamua kuchungulia kimya kimya.

Hahahaha!! Wewe unajidai kwa sababu ni my first love wangu ngoja nikupige chini uone madua yangu yanavyotenda kazi, we mkifungwa leo watakuja wote na kigodoro kinafunguliwa hapa hapa kama cha siku ile kwa Chelsea!!!

Nashukuru hata kwa kunipa hiyo heri ya unafiki najua hunipendi kabisaaa lol
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Kila la heri nawe unahitaji ushindi ili watu pale OT waweze kutabasamu maana wamenuna mpaka wanaonekana wazee kwi kwi kwi kwi kwi Dua la everlenk halimpati BAK ila linampata Mupenzi wa Chelsea 🙂🙂🙂...Sijui kama Nzi atakuja leo huku au ataamua kuchungulia kimya kimya.
No, wanatakiwa kutunguliwa kesho au kutoa draw.Hakuna haja ya kuwaonea huruma
 
Last edited by a moderator:
Mshughulikie mupenzi japo uji utamsaidia apate nguvu ya kuweza kutoka hata kitandani japo kwa masaa machache. Anahitaji kula ili apate nguvu. Haya ngoja niendelee kufuatilia hii game tunahitaji at least goli kabla ya half time ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuchukua 3 points.

Hahahaha!! Wewe unajidai kwa sababu ni my first love wangu ngoja nikupige chini uone madua yangu yanavyotenda kazi, we mkifungwa leo watakuja wote na kigodoro kinafunguliwa hapa hapa kama cha siku ile kwa Chelsea!!!

Nashukuru hata kwa kunipa hiyo heri ya unafiki najua hunipendi kabisaaa lol
 
Mshughulikie mupenzi japo uji utamsaidia apate nguvu ya kuweza kutoka hata kitandani japo kwa masaa machache. Anahitaji kula ili apate nguvu. Haya ngoja niendelee kufuatilia hii game tunahitaji at least goli kabla ya half time ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuchukua 3 points.

leo naikosa game yenu,uje unihadithie badaye hata kama mtacheza vibaya unihadithie yote,mi nafatilia hapa na live score.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sasa angalau nitarelax kuangalia kipindi cha pili, tulipata goli nyingine mbili itakuwa poa sana. HT 1-0 Arsenal.
 
Mlitakiwa kuwa mbele goal kama 3 hivi. Walcot kapoteza nafasi mbili za wazi. Second half Wenger ampumzishe.
 
Honey Faith akihakikisha ushindi basi huwa hakosei, ila sijaridhishwa na kiwango cha uchezaji anao anao nyingi sana hasa tunapokuwa kwenye goli la WH. Kwa kiwango hiki sidhani kama tutaweza kuwafunga Monaco 3-0 kwao hiyo March 17, 2015.

leo naikosa game yenu,uje unihadithie badaye hata kama mtacheza vibaya unihadithie yote,mi nafatilia hapa na live score.
 
Last edited by a moderator:
BAK Hongera sana ushindi kwanza viwango vya ubora badaye.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom