Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aisee wewe unalijua soka napenda sana uchambuzi wako kuhusu timu yenu chini ya huyu Mholanzi. Ukitaka kuangalia soka la uhakika usikose mechi zetu 🙂🙂 unaangalia kwa raha zako.

Hajui soka huyo kaja kuganga njaa tu huku. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hajui soka huyo kaja kuganga njaa tu huku. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Aisee!!! Una bahati leo siku ya mapendo duniani lasivyo.............kila la heri kwenye mechi ya kesho.
 
Aisee wewe unalijua soka napenda sana uchambuzi wako kuhusu timu yenu chini ya huyu Mholanzi. Ukitaka kuangalia soka la uhakika usikose mechi zetu 🙂🙂 unaangalia kwa raha zako.

Hahahahaha!!! Wazee wa chenga twawala lakini...... angalau sasa nyavu mwaziona, ee bana eeh!! Kila la heri kwenye mechi ya kesho.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahahahah lol! Chenga hizo hizo ndizo zikufanyazo usipende kukosa mechi zetu 🙂 , Ahsante sana.

Hahahahaha!!! Wazee wa chenga twawala lakini...... angalau sasa nyavu mwaziona, ee bana eeh!! Kila la heri kwenye mechi ya kesho.
 
Kikosi nachokitegemea kesho
1. Scyz
2. Cham 4. Kosc 5. Gab 3. Gibbs
6. Coq 7. Theo 8. Rosicky 9. Welbeck 10. Santi 11. Ozil
sub: ospina, belerin, bielik, flamini, per, akpom
 
Nasikia kikosi kitakuwa hivi

Arsenal
Szczesny,Chambers, Kos ,Paulista, Gibbs,Flamini, Cazorla, Welbeck, Ozil ,Alexis,Giroud
Bench-Martinez, Mert,Walcott,Monreal, Rosicky,Akpom,Coquelin

Midd'bor
Mejias, Frederick, Omerous,Gibson,Friend,Leadbitter,Clayton, Adomah,Tomlin, Kike,Bamford
Bench- Ripley, Nsue,Husband, Vossen, Reach,Whitehead,Woodgate

Arsenal tunatakiwa kuwa focused 200% leo. Hawa jamaa wapo katika form nzuri ukilinganisha na sisi.
Btw- Majina ya kizungu ukiyatafsiri kwa kikwetu yanakuwa mzozo
 
Arsenal 2-0 Middl'ro . Mfungaji Giroud (27 & 29) HT. Hatuwezi kuhesabu ushindi, jamaa watajiulizza mapumzikoni na wataweza kuja na plan tofauti. CYOG!!
 
Ina maana Gunner wenzangu hampo hapa? Msiwape kina 150M pounds still playing like a pub team la kusema.
 
Leo tunapiga chenga kali na nyavu tunaziona tena kwa raha zetu, niko hapa naangalia huu mchapo bila hata pressure lol!!!! Natumai unaangalia ili usuuzike na moyo wako japo hutupendi 🙂🙂 Ombi langu kwa Babu Ozil aende bench Walcott aje kufanya vitu vyake ili tuongeze goli nyingine tatu.

Hahahahaha!!! Wazee wa chenga twawala lakini...... angalau sasa nyavu mwaziona, ee bana eeh!! Kila la heri kwenye mechi ya kesho.
 
Mie nipo Mkuu nadhani wengine wanamalizia malizia sherehe za siku ya wapendanao.

Ina maana Gunner wenzangu hampo hapa? Msiwape kina 150M pounds still playing like a pub team la kusema.
 
Substitutions: Alexis and Welbeck off. Mr Arsenal Rosicky and Walcott IN. Wenger anataka kustretch ngome ya Middle'rough. Defending through attacking
 
Back
Top Bottom