Mwaka huu mpo vizuri sana na ndiyo mechi pekee ambayo sisi MAJOGOO tunaihofia!Hawa akina RRONDO safari hii De Gea hawezi kuwaokoa tena!
CL ndiyo team pekee itakayobaki baada ya best 8(fact)
Keep dreaming....
rubaman ndugu yangu kwema hapa?
Bado hamjapiga bunduki kwa miaka 10 sasa hadi zina kutu sasa kaka!Heri tu muendelee kurusha mishale yenu ya FA ehehehehe!
Lkn CL mpo vyema sana na mtafika mbali
Poa mkuu. Anyway, hatupo tofauti sana na nyie mnaosindikizana vilioni miaka nenda rudi afu bado mnapeana moyo wa kuvunja mwiko kila mwaka
Poa mkuu. Anyway, hatupo tofauti sana na nyie mnaosindikizana vilioni miaka nenda rudi afu bado mnapeana moyo wa kuvunja mwiko kila mwaka
Naona hata Liverpool sasa wana wadharau (Kwa mujibu wa Malafyale ) lol
2005 tulichukua CL lkn nyie mtutu wenu haujawahi piga bunduki toka INVISIBLE mwanangu akiwa hajazaliwa na leo yupo std 6
Mwaka huu mpo vyema lkn