McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
FT 2-0. QF draw itakuwa lini kesho au?
Draw ni kesho mpwa duh hapo ndio kila timu inakamia kombe sasa,ila hii timu yetu siku hizi 2nd half tunapwaya sana mpaka inakera.
FT 2-0. QF draw itakuwa lini kesho au?
Draw ni kesho mpwa duh hapo ndio kila timu inakamia kombe sasa,ila hii timu yetu siku hizi 2nd half tunapwaya sana mpaka inakera.
QF tutacheza dhidi ya mighty Preston. hahahaha
Cc DonaldDon, Nzi, Belo
Ushaanza kutetemeka...na naona unatamani kweli msikutane na United!
Either timu za leo ni poa. Sababu wote ni vibonde. Baiskeli za miti zinakimbizana mteremkoni
Watch out goons...naona mmeanza kuomboleza kabisa...jitayarisheni kwa matanga hapo tarehe 7 ya mwezi ujao...