Wacha fujo wewe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee vipi mmeshinda leo au basi ndio spana mkononi?
khe khe khe kheeeeeeeeee sitaki hata kuiweka EPL Table hapa maana unayajua matokeo vizur sana,nisingeshinda yaani ungelikuwa ushakuja mitaa yetu kutembeza mbofu mbofu,si ya nne tena bali malizia mwenyewe........
Mhhhhhh! Khe khe khe kheeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeee huyu ndiye anayenitakia mema na Gunners wangu lol! haya bana, Hongera sana kwa ushindi wa bora liende. Kusema kweli namiss kuuona ule mpira niliozoea kuona enzi za SAF, huu wa sasa ni bora liende tu hakuna hata pattern inayoleweka.
Mhhhhhh! Khe khe khe kheeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeee huyu ndiye anayenitakia mema na Gunners wangu lol! haya bana, Hongera sana kwa ushindi wa bora liende. Kusema kweli namiss kuuona ule mpira niliozoea kuona enzi za SAF, huu wa sasa ni bora liende tu hakuna hata pattern inayoleweka.
Katika hilo sikatai kweli ni bora liende ila hivyo hivyo palipo na ugumu ndipo neema huwa iko karibu kuja,Van Gaal anawachanganya sana vijana na mfumo wake usioeleweka,hiyo anayoiita philosophy kweli ni tata,kila mmoja akicheza position inayotakiwa tungeona ule utamu wa MANU enzi za SAF,kujenga ni kazi sana kuliko kubomoa