nilitarajia haya matokeo kutokana na upangaji mbovu wa kikoc uliofanywa na huyu mzee wetu wenger,arsenal tulikuwa na tatizo ka defensive midf & world classic straiker mpaka dirisha linafungwa hajasajiliw kiungo mkabaji sidhan kwamb hata big 4 tutaingia kwa hiki kikoc kibovu kabisa, ni muda wa wenger kuachia ngazi.
nilitarajia haya matokeo kutokana na upangaji mbovu wa kikoc uliofanywa na huyu mzee wetu wenger,arsenal tulikuwa na tatizo ka defensive midf & world classic straiker mpaka dirisha linafungwa hajasajiliw kiungo mkabaji sidhan kwamb hata big 4 tutaingia kwa hiki kikoc kibovu kabisa, ni muda wa wenger kuachia ngazi.
nilitarajia haya matokeo kutokana na upangaji mbovu wa kikoc uliofanywa na huyu mzee wetu wenger,arsenal tulikuwa na tatizo ka defensive midf & world classic straiker mpaka dirisha linafungwa hajasajiliw kiungo mkabaji sidhan kwamb hata big 4 tutaingia kwa hiki kikoc kibovu kabisa, ni muda wa wenger kuachia ngazi.
Sokoine ww na wenzako ni wataalam wa kuangalia soka kwenye TV...Wenger ana sababu gani kumfitini mchezaji aliyemsajili mwenyewe kwa hela nyingi? Inakujia akilini kweli. .??Spurs tutamchapa hata akicheza babu yangu upande wa mama! Mark my words!
Babu yenu alitamani kufungwa leo.Ndio sababu SAF alikuwa juu zaidi kwa matokeo mazuri ukilinganisha na Babu, mara nyingi hakukawia kufanya mabadiliko pale alipoona timu yake imezidiwa na hivyo kufanya mabadiliko ili kuubadili mchezo. Una wachezaji wazuri kwenye banch ambao wana uwezo mkubwa wa kufanya mabadiliko ya mchezo kwanini usubiri zikiwa zimebaki dakika chache ndio ufanye mabadiliko? Halafu akiambiwa anajifanya mjuaji sana.
Babu yenu alitamani kufungwa leo.
Baada ya kupata bao moja alirudisha timu yote nyuma. Tot wanacheza uwanja wa nyumbani alitarajia nini?
Inaonekana alidhamiria kulinda bao moja ,kosa lililowagharimu. Baada ya bao kurudishwa, babu alifikiri ataambulia droo.
Wachezaji anawaweka benchi ili aje "awajambishie" wapenzi wa Arsenal Emirates stadium.
Babu yenu anazeeka vibaya.
Lakini Tot walijua kukaba leo. Hawakuwapa Arsenal nafasi ya kufanya tik tak yao. Pale kati mchezo ulikuwa compact. Tot wangeweza kufunga mabao mengi kama Rose angetumia mianya aliyoipata.
Rose alikuwa anajiweka katika nafasi ya kuikimbia compactness na mabeki wa babu walishindwa kumwona katika radar. Rose alishindwa kutumia nafasi nyingi za kufunga alizozipata.