Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndugu zangu kushinda mechi tano mfululizo imeshakua tabu aixee....
 
Kazi ni kazi
 

Attachments

  • 1423319085288.jpg
    1423319085288.jpg
    54.4 KB · Views: 113
Dah! 2-1 sijui kwanini Babu alisubiri kumuingiza Walcott zikiwa zimebaki dakika chache badala ya kumuingiza baada ya half time, maamuzi yake mara nyingi ni very questionable.
 
Dah! 2-1 sijui kwanini Babu alisubiri kumuingiza Walcott zikiwa zimebaki dakika chache badala ya kumuingiza baada ya half time, maamuzi yake mara nyingi ni very questionable.

Prof Wenger
 
Mechi za jioni ndomana sizipendagi, hawa FA wasiwe wanaipangia Arsenal mida mibaya hii aaaaaah
 
Dah! 2-1 sijui kwanini Babu alisubiri kumuingiza Walcott zikiwa zimebaki dakika chache badala ya kumuingiza baada ya half time, maamuzi yake mara nyingi ni very questionable.

Hii tushalala mkuu.
 
Babu maamuzi yake ni ya kustaajabisha, baada ya kuona mashambulizi makali kabla ya halftime, ilibidi aongeze nguvu mstari wa mashambulizi kwa kumungiza Walcott, wote tunajua Walcott anapokuwa uwanjani huongeza nguvu sana mstari wa mashambulizi na speed ya kushambulia huwa kubwa sana, lakini kama kawaida ya Babu hakufanya lolote na hivyo mashambulizi dhidi yetu yakaendelea mtindo mmoja na sasa yametugharimu labda katika mechi ambayo tulistahili kushinda tunaweza kuishia kupoteza points zote tatu. Aaaaaaarrrrrrggggggghhhhhh!

Watani msipokuwa makini madogo watawatoa nishai.
Cc BAK utafiti
 
Back
Top Bottom