Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger ni mteja tu kwa Jose Mourinho.


Mshaanza kulinganisha eeeh, ngoja mtolewe kamasi saivi. Mnaanza kuwa na majeruhi kipindi hiki cha muhimu sana, mtaanza kuppteza mechi sana saivi.
 
Mshaanza kulinganisha eeeh, ngoja mtolewe kamasi saivi. Mnaanza kuwa na majeruhi kipindi hiki cha muhimu sana, mtaanza kuppteza mechi sana saivi.


Hahaaaaaa nimepita kuwatania tu majirani zangu....
 
Karibu sana kiongozi, sisi tunaanza ligi rasmi dhidi ya tottenham. Baada ya hapo utaiona arsenal...!

All the best mkuu......sisi tumeongeza striking force ili tutwae makombe...................
 
Mkuu,

Mwenyekiti wa Tottenham Daniel Levy ameweka zuio kwa Adebayo asiende West Ham kwa sababu Adebayo amekataa kwenda QPR au Crystal Palace. Levy alitaka Adebayo aende kwenye timu hizo ambako Tottenham wangechangiana malipo ya paundi 100,000 ambazo Adebayo analipwa na Tottenham kwa wiki.

Adebayo kuona anaambiwa achague moja ya timu hizo akakataa na Levy akawaambia West Ham kama wanamtaka Ade basi wao wachukue jukumu la kumlipa pesa yote yaani paundi 100,000 kwa wiki wazo ambalo West Ham wamelikataa.

Unafahamu Tottenham wanawaangalia West Ham kwa jicho la husda hasa kwa kuzingatia kwamba wote wapo juu kwenye msimamo wa ligi hivyo West Ham kuonekana ni tishio kwa Tottenham. Ndio maana Tottenham wakaona Adebayo aende kwenye hizo timu za chini ambazo si tishio sana.

Haya mambo ya usajili wakati mwingine yanaleta mtafaruku sana ulojaa pilikapilika nyingi.

Hata hivyo Tottenham ndio watakaokula hasara kwa kuendelea kumlipa Adebayo hicho kiasi cha fedha hadi msimu wa ligi uishe, na mkataba wake baadae mwaka huu.

Lakini pia ni mahasimu hawa toka Mji mmoja na mwaka jana walikua katika tenda ya kugombania uwanja mpya wa olimpic spurs alibwagwa
Na kupelekea sasa kua na mpango wa kujenga uwanja mpya wa kwake mwenyewe ambapo wataufanyia matengenezo makubwa white Hart Lane pamoja na kuongeza uwezo wa kuchukua watazamaji zaidi.
Huenda kuanzia msimu ujao wa katumia uwanja wa mk dons. Wenger alikua tayari apokezane nao emirate but mashabiki wao wakaja juu...
 
Wapenzi wa Klopp mnafuatilia mambo makubwa anayofanya na Borussia Dortmund hivi sasa? Jamaa ni Genius ameitoa B.Dortmund ilipokuwa miaka 3 iliyopita hadi ilipo sasa. Nani mwingine anayeweza kufanya maajabu kama haya?
 
Wapenzi wa Klopp mnafuatilia mambo makubwa anayofanya na Borussia Dortmund hivi sasa? Jamaa ni Genius ameitoa B.Dortmund ilipokuwa miaka 3 iliyopita hadi ilipo sasa. Nani mwingine anayeweza kufanya maajabu kama haya?


BvB saivi wanashika mkia aisee, kweli soka ni mchezo usio na haya..!
 
Dah Sanchez hatoweza kucheza jumamosi. Kama kawaida yetu ameingia wodini kama kina Diaby, Wilshere ingawaje walisema ilikuwa minor injury. Anyway, kikosi kilichomwondoa Aston Villa kwa mkono kinaweza kumwondoa Spurs vile vile
 
Dah Sanchez hatoweza kucheza jumamosi. Kama kawaida yetu ameingia wodini kama kina Diaby, Wilshere ingawaje walisema ilikuwa minor injury. Anyway, kikosi kilichomwondoa Aston Villa kwa mkono kinaweza kumwondoa Spurs vile vile

Mkuu wala usiwe na wasiwasi kabisa.

Nafasi ya Sanchez tayari imezibwa na Mesut Ozil na ndie atakaeanza kucheza namba hiyo 10 akisaidiana na Theo Walcott pembeni kushoto.

Sasa hivi kuna wachezaji wengi wamerudi hivyo tatizo la kukuna kichwa kwamba ooh! hakuna cover halipo.

Piga goli Tottenham,

COYG!
 
Mkuu wala usiwe na wasiwasi kabisa.

Nafasi ya Sanchez tayari imezibwa na Mesut Ozil na ndie atakaeanza kucheza namba hiyo 10 akisaidiana na Theo Walcott pembeni kushoto.

Sasa hivi kuna wachezaji wengi wamerudi hivyo tatizo la kukuna kichwa kwamba ooh! hakuna cover halipo.

Piga goli Tottenham,

COYG!

sijawahi kuona kocha mpuuz kama wenger yani anamsingizia kuwa SANCHEZ ni majeruhi wakati SANCHEZ mwenyewe yupo fiti kucheza mzima wa afya lakini wenger anamsingizia ni majeruhi....nia yake nikuona michezaji yake walcot,giroud na welbeck wacheze.......kitendo hiki cha wenger kumsingizia sanchez ni majeruhi kimenikasirisha sana.......sanchez ni injini ya timu lakini wenger anamfanyia fitina sanchez.......yangu macho kesho na spurs kwa hao wachezaji wake anaowaamini tuone
 
sijawahi kuona kocha mpuuz kama wenger yani anamsingizia kuwa SANCHEZ ni majeruhi wakati SANCHEZ mwenyewe yupo fiti kucheza mzima wa afya lakini wenger anamsingizia ni majeruhi....nia yake nikuona michezaji yake walcot,giroud na welbeck wacheze.......kitendo hiki cha wenger kumsingizia sanchez ni majeruhi kimenikasirisha sana.......sanchez ni injini ya timu lakini wenger anamfanyia fitina sanchez.......yangu macho kesho na spurs kwa hao wachezaji wake anaowaamini tuone

Mmmh, mkuu source ya taarifa yako ni ipi?
 
Sokoine ww na wenzako ni wataalam wa kuangalia soka kwenye TV...Wenger ana sababu gani kumfitini mchezaji aliyemsajili mwenyewe kwa hela nyingi? Inakujia akilini kweli. .??Spurs tutamchapa hata akicheza babu yangu upande wa mama! Mark my words!
 
25658D5400000578-2942492-image-a-102_1423228750379.jpg


Mathieu Flamini, Kieran Gibbs, Olivier Giroud, Mesut Ozil and Gnabry (left-right) walk out to the training pitches at London Colney



2565767800000578-2942492-image-a-96_1423228484098.jpg


Prof Wenger watches his first-team squad train at London Colney on Friday as he prepares to make his team selection for Tottenham on Saturday



256579B800000578-2942492-image-a-95_1423228484091.jpg


David Ospina, pictured in training on Friday, has recently ousted Wojciech Szczesny from the No 1 goalkeeping spot at Arsenal



2565867400000578-2942492-image-a-94_1423228484079.jpg


Serge Gnabry strikes a ball during Arsenal's training session at London Colney on Friday


2565903100000578-2942492-image-a-93_1423228484068.jpg



Arsenal defender Calum Chambers (left), signed from Southampton in the summer,
shakes hands with Wenger before the training session


2565878E00000578-2942492-image-a-92_1423228484061.jpg


Cazorla (left) and Walcott look focused as they prepare for the trip to White Hart Lane


256578C200000578-2942492-image-a-91_1423228484053.jpg


Nacho Monreal, trying to keep warm in gloves and a snood

in the cold Friday morning weather


256584C100000578-2942492-image-a-90_1423228484045.jpg



Cazorla, Ramsey, Per Mertesacker, Gabriel Paulista and Theo Walcott (left-right)

take part in a drill during Arsenal's pre-Spurs training session


256597A200000578-2942492-image-a-105_1423228819513.jpg


Krystian Bielik smiles during training at Arsenal as he settles

into his new surroundings in north London



25471B8600000578-2942492-The_impressive_performances_of_Francis_Coquelin_has_been_a_welco-a-84_1423228483967.jpg


Francis Coquelin
256595D600000578-2942492-image-a-87_1423228483991.jpg


Hector Bellerin (left) has been impressive this season; he strikes the ball in training on Friday as manager Wenger watches on



255D56D500000578-2942492-Alexis_Sanchez_is_willing_to_defy_medical_advice_to_play_for_Ars-a-79_1423228483885.jpg


Alexis huyu hapa .... ...



2565804B00000578-2942492-image-a-85_1423228483975.jpg


Guess who?
 
Back
Top Bottom