Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahahaha "And its himself, the man of the derbies, Harry Kane" ahahahaha hatari saanaa
 
Ndio sababu SAF alikuwa juu zaidi kwa matokeo mazuri ukilinganisha na Babu, mara nyingi hakukawia kufanya mabadiliko pale alipoona timu yake imezidiwa na hivyo kufanya mabadiliko ili kuubadili mchezo. Una wachezaji wazuri kwenye banch ambao wana uwezo mkubwa wa kufanya mabadiliko ya mchezo kwanini usubiri zikiwa zimebaki dakika chache ndio ufanye mabadiliko? Halafu akiambiwa anajifanya mjuaji sana.
 
Mechi za jioni ndomana sizipendagi, hawa FA wasiwe wanaipangia Arsenal mida mibaya hii aaaaaah

Kwenu bongo ndio mmeiona jioni hii mechi kaka...mechi imeanza saa saba kasoro mchana hapa London
 
Ndio sababu SAF alikuwa juu zaidi kwa matokeo mazuri ukilinganisha na Babu, mara nyingi hakukawia kufanya mabadiliko pale alipoona timu yake imezidiwa na hivyo kufanya mabadiliko ili kuubadili mchezo. Una wachezaji wazuri kwenye banch ambao wana uwezo mkubwa wa kufanya mabadiliko ya mchezo kwanini usubiri zikiwa zimebaki dakika chache ndio ufanye mabadiliko? Halafu akiambiwa anajifanya mjuaji sana.

Pamoja na kuwazidi kwenye kufunga wa kwanza ila mlizidiwa sehemu zote za uwanja
 
Babu maamuzi yake ni ya kustaajabisha, baada ya kuona mashambulizi makali kabla ya halftime, ilibidi aongeze nguvu mstari wa mashambulizi kwa kumungiza Walcott, wote tunajua Walcott anapokuwa uwanjani huongeza nguvu sana mstari wa mashambulizi na speed ya kushambulia huwa kubwa sana, lakini kama kawaida ya Babu hakufanya lolote na hivyo mashambulizi dhidi yetu yakaendelea mtindo mmoja na sasa yametugharimu labda katika mechi ambayo tulistahili kushinda tunaweza kuishia kupoteza points zote tatu. Aaaaaaarrrrrrggggggghhhhhh!

Duh! Poleni sana watani wangu ndo vile tena one mistake one goal,sometime hawa makocha wetu wanaboa na maamuzi yao utafikiri hawajui,Walcot angeingia mapema yumkini mngekuwa mnacheka sasahv na point 3.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa kuwa legends wengine hawakuwa makocha wazuri, haina maana na Thierry hawezi kuwa kocha mzuri. Huwezi kuhitimisha kitu bila kujaribu na kuona matokeo yake.

T. Henry hawezi kuwa kocha. Mara nyingi legends hawawezi kuwa makocha wazuri.
 
Back
Top Bottom