Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
Kama tukipita hapo (wa Arsenal) kwa Monaco, kisha kwa mshindi wa Porto na fc basil, hapo ndo shughuli inakuja maana itakuwa Madrid endapo watakuwa wamepita nao kwenda finali.
sipendi ubishi soma hilyo document alafu urejee hapa QUARTER FINALS draw ipo ikifika SEMI FINALS ndo moja kwa moja
View attachment UEFA.pdf