Shukrani everlenk niko hapa mkao wa kula baada ya kuangalia mechi ya New Castle na Sunderland sasa nasubiri huu mtanange wetu 20 minutes to go. Liverpool wataanza kwa speed kubwa sana ili wapate goli/magoli ya haraka haraka na hivyo kuwa na support kubwa toka kwa wapenzi wao hasa ukitilia maanani wao watakuwa nyumbani. Tukiweza kupata goli la kwanza sisi itakuwa bomba sana.