Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,202
- 1,464
Kati ya makocha wapuuzi huyu nimmoja wao, kila wakati anafungisha, hawezifanya mabadriko kwa wakati muafaka na
nimbaguzi kwanini camble hampangi ilhali ni mtu muhimu sana...... Asernal tunachokeshana tu.
Ngoja twende kwenye International break tusubiri Giroud arudi rasmi.
Dah! Mnavyotia huruma, hata kuwacheka siwezi.
Heri ya United tunajua shida yetu ni nini, kuliko goons wanaojiona wapo kamili kumbe shida ni Aseni Chenga.
Fukuzeni kocha huyo, kaishiwa.
Na tutakapokuja Imarate kuwakalisha ndiyo mtaipata fresh.
#WengerOut
We need to play better today in order to collect all 3 points, Swansea is among the best teams in EPL. Stupid mistakes will cost us dearly. COYG!
#InGunnersWeTrust
[h=5]Edo Kumwembe
[/h]
.....Sio Messi wala Ronaldo....Arsenal haiitaji kununua staa yoyote. wanahitaji kocha mpya mwenye akili mpya......Hata dini zinachagua viongozi wapya.....dakika ya 89 unataka kusawazisha bao anaingia Sanogo....Hehehehe
Edo Kumwembe
.....Sio Messi wala Ronaldo....Arsenal haiitaji kununua staa yoyote. wanahitaji kocha mpya mwenye akili mpya......Hata dini zinachagua viongozi wapya.....dakika ya 89 unataka kusawazisha bao anaingia Sanogo....Hehehehe
Ivi anaitwa eva vile?? Yaani nikiangalia chelsea naombea mchezaji aumie sio siri ili nimuone tu
Utakimbia mwenyewe sisi tupo hapa hadi game iishe ... ... . . .. khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
tehtehtehtehtehteh!
tatizo lenu ni mr bean!
![]()
tehtehtehtehtehteh!
tatizo lenu ni mr bean!
![]()
Unatia huruma, masikini!! Wanger atakuua we bishoo!!
Akili mpya kama ya kwako nicheke mie khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee watu wana wivu na wenger kama tabloids za wingereza kisa ni mfaransa na analipwa vizuri kwa kazi anayofanya khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
mmeshinda 2-1.
mi binafsi nimefika mwisho na kocha wetu, Wenga naamini amefika mwisho.