Refa bana yeye anaona zaidi kuliko mtu ambaye yupo 2 metres ...
Mimi sijauliza droo,vipi tukishinda sisi?
So sad....😡😡
Kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kwisha habari yenu
Kati ya makocha wapuuzi huyu nimmoja wao, kila wakati anafungisha, hawezifanya mabadriko kwa wakati muafaka na
nimbaguzi kwanini camble hampangi ilhali ni mtu muhimu sana...... Asernal tunachokeshana tu.
Mimi sijauliza droo,vipi tukishinda sisi?
To be honest timu bado ni tatizo upande wa beki wa kati na kiungo mkabaji.
mkuu tupeni heko chelsea basiDraw inanukia hapa weye! Acha hizo!!
BAK tumetoka mbali sana since babu ataka kusema,think twice,think twice please arsenal utakufa preshaKiswahili kinabadilika bhanaaa kuoa na kuwowa vina maana mbili tofauti, miaka michache iliyopita hatukuwa na neno ukarabati hivyo kuwowa pia neno la Kiswahili hata kama halijaingizwa rasmi kwenye kamusi.