Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Half time tayari kaka tumebet napata mke live

Pacha kama tunabadilisha unanipa yule doctor wenu itakua poa sana, maana nna mpango wakushabikia chelsea kwajili ya kile kidoctor aise
 
Pacha kama tunabadilisha unanipa yule doctor wenu itakua poa sana, maana nna mpango wakushabikia chelsea kwajili ya kile kidoctor aise

Hahahahaha pacha unajua kupiga kijicho,unamtaka Eva?
 
1415552666588.jpg
 
Ivi anaitwa eva vile?? Yaani nikiangalia chelsea naombea mchezaji aumie sio siri ili nimuone tu

Hahahaha aiseee huyo daktari mzuri acha tu ,mnamfahamu ila madaktari wa timu yenu hamfaham
 
Sio mbaya kabisa..Montero anamsumbua Chambers
Sijawahi ona Chamber anacheza vizuri ile namba,angewekwa kati na Per na 2 angecheza Bellerin.mana Wenger kaweka holes mbili kulia na kati.Nafikiri Wenger ni tatizo la kwanza pale Arsenal
 
Hahahaaaa vipi sisi tukifunga?ngoja tuweke mzani kabisa...tho naamini hatuwezi kupoteza hii game...tunaitaka sana nafasi ya 4

Ikiwa dro mahari tunachangia utafiti michezo inaleta mapenzi ya kweli
 
Last edited by a moderator:
Yaani huyu golkipa tumemlea wenyewe leo anajifanya kama hatujui, anataka aonekane kipa bora au?
 
Back
Top Bottom