Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Mshafungwa tayari
Hahhahha, majuzi uliwaotea Leicester City, leo unaleta bundi wako humu?
Acha kutuwangia banaa!
Mshafungwa tayari
Mshafungwa tayari
Dakika ya 8 bado ni 0-0
Leo siangalii game maana huku kwetu tunatumia cable wanaonyesha game ya Liverpool tu!!nategemea update ya game yetu kutoka kwako na wengine mnaoangalia kupitia hapa jamvini
Leo siangalii game maana huku kwetu tunatumia cable wanaonyesha game ya Liverpool tu!!nategemea update ya game yetu kutoka kwako na wengine mnaoangalia kupitia hapa jamvini
unaangalia kupitia chanal ipi mkuu? naona supersport pia zinazingua leoDiaby namuona kama kachoka vile
unaangalia kupitia chanal ipi mkuu? naona supersport pia zinazingua leo