mechi ngumu sana hii kwa arsenal kuliko ile na man city
Kuna timu unaweza ukawa unashangilia ushindi tena kipindi cha kwanza lakini sio Arsenal...
Hapa kelele zenu labda tuzisikie baada ya Dk 90!!
#Wakaangasumu Kimya!!!! Najua mlikuwa macho kusubiri Villa watufunge hahaha
Point tatu muhimu kibindoni that's all maters
Kuna timu unaweza ukawa unashangilia ushindi tena kipindi cha kwanza lakini sio Arsenal...
Hapa kelele zenu labda tuzisikie baada ya Dk 90!!
Kuna timu unaweza ukawa unashangilia ushindi tena kipindi cha kwanza lakini sio Arsenal...
Hapa kelele zenu labda tuzisikie baada ya Dk 90!!
Umetoka mafichoni leo
Point tatu muhimu kibindoni that's all maters
Nikukumbushe tuu "Bado zipo mezani" ila hamtakuwa wakwanza kutoka droo baada ya kutangulia kwa 0-3 1st Half
Umetoka mafichoni leo