hivi yule MONREAL siku akikutana na mtu kama Di Maria au Rahim Sterling ndugu zanguni si itakuwa majanga!!!! Huyu mchezaji kwa kweli sijui anapataje namba hapo Arsenal.......
![]()
The boys were off after training .. ... ..
kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Ozil kwisha habari yakeMfarisayo Wacha kupotosha ... .... ...
![]()
Ozil Jembe mnamuhara khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Arsenal leo tunakutana na Borussia
Dortmund ugenini michuano ya
Champions League kundi D
Mathieu Debuchy ni majeruhi na
Calum Chambers ambaye anaweza
kucheza beki mbili uwepo wake ni
50/50 kwa kua anasumbuliwa na
tonsils.
Beki mbili pekee aliyejumuishwa
katika kikosi hicho ni Hector
Bellerin, na hivi ndivyo Wenger
anavyomzungumzia:
'Bellerin ni mvulana anayejielewa.
Hatishwi na presha. Hilo ni
muhimu ukiwa bado mvulana.
Kubadilika (kukaba na kushambulia
dimbani) kwake ni bora kabisa.
'Ni mwepesi na ana kasi na pasi
zake za mwisho ni nzuri. Anakosa
uzoefu lakini ni mchezaji hatari
sana.'
Bellerin amecheza mechi moja tu
ya nguvu akiiwakilisha Arsenal;
michuano ya the Capital One Cup,
hajawahi cheza EPL wala FA cup na
leo kwa mara ya wkanza tukiwa
ugenini anaweza kucheza
Champions League dhidi ya
Dortmund dimbani kwao
Westfalenstadion.
Nilimshuhudia akiwa anapandisha timu ni mzuri kwa kweli ana kasi kuliko walcot.
Cheers tukutane Ujerumani
Man u nawakaribisha maana hamna timu huku
#coyg
Mkuu nina wasi wasi na huyo kijana sababu kwa matatizo ya huyu kocha hizo sifa zote zaweza kuwa is lolote wala chochote
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
![]()
Here we come the teenage sensational H Bellerin takes his place
.. ... .. . ... . mtanange ndio kwanza unaanza kunapashwa joto 19:45
British summer time kick off ... ... . ... ... .... .. . COYG
Arsenal XI: Szczesny, Bellerin, Koscielny, Mertesacker, Gibbs, Arteta, Wilshere, Ramsey, Alexis, Ozil, Welbeck
Substitutes: Ospina, Chambers, Rosicky, Oxlade-Chamberlain, Cazorla, Campbell, Podolski
Mimi ni mshabiki na mpenzi mkubwa sana wa Arsena. Lakini kwa hii game ya leo siyoni kama tuna timu ya kucheza na Borrusia Dotmond...natabiri leo tunafungwa,tena magoli mengi.
Borrusia Dotmond 4 - Arsenal 1 au B.Dotmond 3 - Arsenal 1. Au tumejitahidi saaana tena kwa jasho na damu basi itakuwa droo. Na mchezaji mmoja wa Arsenal atatolewa nje kwa kadi nyekundu. Hutaki unaacha.