Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kwa kweli hii game ilininyima raha tangu last week kiasi wife kuhisi namchukia,ngoja leo nirudishe heshima nyumbani.
 
hongereni watu wa Gunnerz kutoka Kop, Wenye nafasi zao tutatizama draw za champions League wengine watabaki ku sikiliza kile kinyimbo cha Champions league sio siri nimekimisi bado nusu Nikisahau kinavyolia hebu tuwekeeni tukisikie kile ki ring tones wakina Fulani watakisikia kila jumanne na jumatano hata cha Alhamisi basi hawachezi?

Sasa ka MK Don wamefanya yao huko wakienda si ndiyo itakuwa balaaa.

Pamoja sana Mkuu
 
article-2736079-20DA4FEE00000578-767_964x420.jpg


Vijana wamefanya kweli ... ... COYG
Yaani kwa mpira hawakuweza ila referees wa hizi two ties na red cards .... .. hatari sana. Ngoja arudi Theo maana mbele ni sokombino


''ARSENAL 1-0 BESIKTAS (Arsenal win 1-0 on aggregate) - MARTIN SAMUEL AT THE EMIRATES STADIUM: They will be there, in pot A, business as usual this afternoon. But it was tight. Tighter than it has been for many year. Too tight for comfort, by the end. Down to ten men with 15 minutes to go, Arsenal were a goal away from departing the Champions League before the serious stuff gets underway for the first time since the last century. Tony Blair was in his first term as Prime Minister when Arsenal were last absent from the league stage of the competition, and this was as close as it has been for them since.''


1409169572716_wps_2_Arsenal_v_Besiktas_Champi.jpg



Alexis Sanchez scores on the stroke of half-time to give Arsenal the lead


1409169705627_wps_4_Arsenal_v_Besiktas_Champi.jpg


You've done it: Jack Wilshere, who was instrumental in the build-up to Sanchez's strike, celebrates with the Chile international in front of the delighted home supporters


1409172861343_wps_20_SPT_GCK_270814_Football_C.jpg



1409171094032_wps_15_Arsenal_v_Besiktas_Champi.jpg



1409171092617_Image_galleryImage_SPT_GCK_270814_Football_C.JPG



1409166495466_wps_2_Arsenal_v_Besiktas_Champi.jpg



1409166853374_wps_7_Arsenal_s_German_defender.jpg



1409167786223_wps_20_LONDON_ENGLAND_AUGUST_27_.jpg



1409170196340_wps_8_Arsenal_s_Alexis_Sanchez_.jpg



1409173930833_wps_8_Arsenal_v_Besiktas_Champi.jpg



1409173919931_wps_7_Arsenal_v_Besiktas_Champi.jpg



Bar akipewa pole na Jack na Per
 

BTW Baada ya Manure kufungasha virago Gunners wamepangiwa home tie na Southampton ... .. . kwenye kombe la mbuzi
 
hongereni watu wa Gunnerz kutoka Kop, Wenye nafasi zao tutatizama draw za champions League wengine watabaki ku sikiliza kile kinyimbo cha Champions league sio siri nimekimisi bado nusu Nikisahau kinavyolia hebu tuwekeeni tukisikie kile ki ring tones wakina Fulani watakisikia kila jumanne na jumatano hata cha Alhamisi basi hawachezi?

......hahahhah! Pazi umenivunja mbavu!!!!....




http://youtu.be/0Qqd6T_A9LY
 
Last edited by a moderator:
Sasa ka MK Don wamefanya yao huko wakienda si ndiyo itakuwa balaaa.

Pamoja sana Mkuu

_77184041_bv_zhgiiuaa5w1u.jpg

Ilikuwa ni aibu kwa timu kama Man Utd kufungwa na timu ndogo sana kutoka kamji kadogo ka Milton Keynes tena inaycheza ligi daraja tatu.

Arsenal walipofungwa na timu ya daraja la nne Bradford City misimu miwili ilopita, watu walipiga sana kelele na kusema ilikuwa ni disaster.

Itachukua mechi kadhaa kwa Man Utd kutulia na kufuata maelekezo mapya ya mzee Van Gaal.

Sasa hivi nao waone kwamba kila timu ina muundo wake wa uendeshaji.
 
Olivier Giroud: Arsenal striker ruled out until January


Arsenal striker Olivier Giroud will not play again this year after having surgery on a broken leg.
The club received the results of a second scan on Wednesday, which confirmed the France international had broken his left tibia.
The 27-year-old sustained the injury in Saturday's 2-2 draw at Everton and has been ruled out for up to four months.
"You'll ask who we'll buy to replace Giroud. At the moment, nobody," Gunners manager Arsene Wenger said.
"Giroud had surgery today for a broken tibia and he will be out for three to four months on the competitive side.
"He'll be out for two months, but the time he needs to comes back (is) three to four months.
 
Olivier Giroud: Arsenal striker ruled out until January


Arsenal striker Olivier Giroud will not play again this year after having surgery on a broken leg.
The club received the results of a second scan on Wednesday, which confirmed the France international had broken his left tibia.
The 27-year-old sustained the injury in Saturday's 2-2 draw at Everton and has been ruled out for up to four months.
"You'll ask who we'll buy to replace Giroud. At the moment, nobody," Gunners manager Arsene Wenger said.
"Giroud had surgery today for a broken tibia and he will be out for three to four months on the competitive side.
"He'll be out for two months, but the time he needs to comes back (is) three to four months.

Kwa Giroud hata angekaa msimu nje kwangu poa tu, sionagi anachochezaga, forward gani anayehitaji nafasi 10 za kufunga ndo apate goli 1
 
a824a984-b248-4ae0-b7da-a672405f42d2-403x480.jpeg


The Besiktas fans gather outside the Emirates Stadium and hold a minute's silence for their former club president Suleyman Seba, who died this month at the age of 88. Photograph: David Price/Arsenal FC via Getty Images

650d4a6c-e670-46dd-94aa-7fb4e6ced85a-620x372.jpeg


They make their presence felt inside the ground. Photograph: Adam Davy/PA

c574f0f0-84ff-41ba-8c33-58394befd088-620x372.jpeg


Arsenal's starting XI of Szczesny, Debuchy, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Wilshere, Flamini, Oxlade-Chamberlain, Ozil, Cazorla, Sánchez. Photograph: Shaun Botterill/Getty Images

61b9104e-404d-477c-a667-b0795a8d4a87-620x372.jpeg


Arsenal's Per Mertesacker goes up for a header at a corner but cannot connect properly. It's been a perky start by both sides. Photograph: Ben Stansall/AFP/Getty Images

ede95ec8-8c4c-4b74-b89e-5df029d32af5-620x413.jpeg


An early chance for Jack Wilshere ... Photograph: Shaun Botterill/Getty Images

fc5fb05d-f339-41f7-9951-1ec82d899927-320x480.jpeg


But he screws his shot wide. Photograph: Shaun Botterill/Getty Images

7d97d5a8-8e03-4ba9-aad4-766261d92b66-620x372.jpeg


Alexis Sánchez fires a free-kick over the Besiktas wall but their keeper Tolga Zengin saves easily in the bottom right corner.

7c98b8b0-f501-47bc-a600-b5eb23241dd4-620x372.jpeg


Sanchez has better luck during first-half injury time when the ball breaks down the inside-right channel and Sánchez picks up the loose ball ... Photograph: Ben Stansall/AFP/Getty Images Photograph: Shaun Botterill/Getty Images

b09037ef-af3a-4027-9f86-b4e4bcf18c10-620x372.jpeg


And slots it under Zengin. Photograph: Ben Stansall/AFP/Getty Images Photograph: Shaun Botterill/Getty Images

b7b27f76-8545-47be-ac6f-cfcf7736df25-620x493.jpeg


Relief for the Arsenal players and fans. However the job's not done, a goal from the visitors and they'll be in the driving seat. Half-time: Arsenal 1-0 Besiktas. Photograph: JMP/REX

cccabdf9-5cca-483d-8d91-0e7795628850-620x372.jpeg


Early in the second half Sánchez almost gets his and Arsenal's second but his shot is deflected wide. Photograph: Kieran McManus/BPI/REX

5c8d21b5-19ba-4a60-b6da-62f927e2fdec-620x372.jpeg


Alex Oxlade-Chamberlain, who has been having a good game, can't open his body enough to put his shot far enough away from keeper Tolga Zengin to score. Photograph: Shaun Botterill/Getty Images
d3880ef1-f401-400d-a0e0-c8752bebf5f9-620x372.jpeg


Mathieu Debuchy's clumsy challenge on Mustafa Pektemek earns him a second yellow card and an early bath. Photograph: JMP/REX

b84f1754-acfe-4a41-9caa-588b25709ebd-620x372.jpeg


Mesut Ozil is crowded out by Besiktas defenders Photograph: Ben Stansall/AFP/Getty Images

7b63a294-0a20-465a-af98-ca157e605d30-620x372.jpeg


With two minutes to go Demba Ba has a chance to snatch the game away from Arsenal but he just can't connect his head with Tore's deep cross, much to the chagrin of Cenk Tosun, left, and Atiba Hutchinson Photograph: Dylan Martinez/Reuters

2688eeb8-4fec-4b03-8026-cf3983549c77-620x372.jpeg


The final whistle goes and Nacho Monreal hugs goalscorer Alexis Sánchez. Arsenal are through to the Champions League Group Stages for the 17th consecutive season.
 
Debuchy alipotolewa nikajua kazi imekwisha. Hehehe uchawi kazi kweli, dah.
Swahiba Mbu, hongera basi.
 
Last edited by a moderator:
Mpira nimeukosa ndugu yangu, nilikuwa mbali sana na maskani. Nilipanga niondoke mapema huko niliko ili niuwahi mchezo lakini kama ujuavyo msafiri kafiri. Kuondoka nikachelewa kwa masaa matatu lakin bado nikajipa moyo wa kukanyaga mafuta ili niwahi game. Basi nikaingia barabarani na kukanyaga mafuta kama mwehu huku nikipiga rada mapopo wasinidake. Safari ya wengi mara huyu tusimame hapa tupate msosi mara huyu tusimame hapa nichume dawa, mara huyu tusimame hapa ninunue zawadi ali mradi karaha tupu, hivyo juhudi zangu za kukanyaga mafuta hazikuwa na mafanikio nikabaki kuomba nipewe updates kupitia mtandao wa BBC Sports kila baada ya dakika 15. Thanks God we won the game

#InGunnersWeTrust.

BAK njoo uongeze mashambulizi huku
 
UCL champions Draw
Group F
Manchester United
Young Africans
TP Mazembe
Kaizer Chiefs

Cc Belo, Nzi, Mndengereko, Prondo, Bulldog, DonDonald,Mbeky

Ha ha ha hii haitatokea hata siku moja kwenye hii sayari kwa kweli, labda TP MAZEMBE anaweza ikamtokea mika kadhaa ijayo!
 
Back
Top Bottom