utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
2-2 Mkuu tumeponea tundu la sindano.
Mkuu mbona wanataka kutuharibia hawa jamaa?
2-2 Mkuu tumeponea tundu la sindano.
 mmejilamba midomo..
Hahahaa...#mburukenge walishaandaa meza kula karamu, lol imekula kwao. Mkuu, we have a point to prove msimu huu.Agreed...what a game!!!!! #mburukenge na #Vimburu nyuso zimewashuka lol!!!! hahahahah...Leo walitaka kufanya karamu kwenye jukwaa letu.
.....wewe si umezoea domo 90mins bana, sie wengine tunafurahia kabumbu huku tunadodosa mara moja moja jf kama nilivyofanya 1st half....
Karibu tena Jumatano mjiudhi!
#MosKwito !
Kesho Sunderland watajilamba midomo, vidole na kucha LOL. Arsenal are still undefeated
Kwa hiyo BAK na Balantanda nao ni wapiga domo ama?
Kwa hiyo BAK na Balantanda nao ni wapiga domo ama?
Utakuwa disappointed arifu..kesho Simba lazima tuwakalishe...