Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mnafungwa leo, everton wanaanza kuwaumbua

Usiwe na shaka, we njoo tu uangalie kitale ..... ..... Ozil yupo atacheza kama dakika 20 hivi tunamuweka kiporo maana J5 Rambo hachezi kwenye CL ..... ..... vuta kiti tu.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Szczesny, Debuchy, Mertesacker, Chambers, Monreal, Flamini, Oxlade-Chamberlain, Wilshere, Ramsey, Ozil, Sanchez.
Shukrani kaka naona Jirudi kapumzishwa cjui ndo maandaliz ya j5 ol in ol kikosi kiko poa
 
Baada ya kuwaangalia Chelsea wakiongeza kapuni mwao magoli mawili na points tatu niko hapa nakodolea macho TV tayari kwa mchapo wetu na Everton. Ni mechi ngumu hii maana Everton ni wazuri na wana speed, I hope siku yangu leo haitaharibiwa. Ushindi mbele kwa mbele wa at least goli 2-0.

#InGunnersWeTrust
 
Baada ya kuwaangalia Chelsea wakiongeza kapuni mwao magoli mawili na points tatu niko hapa nakodolea macho TV tayari kwa mchapo wetu na Everton. Ni mechi ngumu hii maana Everton ni wazuri na wana speed, I hope siku yangu leo haitaharibiwa. Ushindi mbele kwa mbele wa at least goli 2-0.

#InGunnersWeTrust

Hatujapoteza game tangu ile mechi walipotushinda leo ni revenge game. Ingawa tuliwakung'uta kwenye kinyang'anyiro cha FA cup.
 
Baada ya kuwaangalia Chelsea wakiongeza kapuni mwao magoli mawili na points tatu niko hapa nakodolea macho TV tayari kwa mchapo wetu na Everton. Ni mechi ngumu hii maana Everton ni wazuri na wana speed, I hope siku yangu leo haitaharibiwa. Ushindi mbele kwa mbele wa at least goli 2-0.

#InGunnersWeTrust

......urgghh
#Chelsea wamepata vibonde msimu huu, kuanza ligi na "njuka" wawili from lower divisions.

Ngoja reality itapo sink in ndio tutaujua uhondo wa hii ligi.


#MosKwito !
 
.....#Mburukenge are getting excited!

ImageUploadedByJamiiForums1408812726.065506.jpg


#MosKwito !
 
9 minutes to go Mkuu Wacha1 niko hapa na korosho zangu na kinywaji tayari kufuatilia huu mchapo.
BAK my dear kumbe unapenda stress eh?? Kumbe wewe muumini wa the gunners? Kwa leo ntakusapot,kila la heri the gunners.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Tough game..
Ozil bado yupo rusty...
Wilshere anapoteza sana..
COYG..
 
Back
Top Bottom