Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wilshere has two seasons to prove his worth otherwise he will need to be sold.
 
article-2729153-20A4E5CA00000578-524_964x386.jpg



Tunawasubiri Emirates hawa hawana ujanja. Wamezoea kucheza kwenye kokoto.
 
Arsenal needs a Top Striker..otherwise Sanchez na Ozil hawatakuwa na msaada wowote kwenye team..kumpigia pasi za mwisho Giroud ni sawa na Kumpa mgonjwa wa Tumbo dawa kutibu maumivu ya kichwa..
 
Arsenal needs a Top Striker..otherwise Sanchez na Ozil hawatakuwa na msaada wowote kwenye team..kumpigia pasi za mwisho Giroud ni sawa na Kumpa mgonjwa wa Tumbo dawa kutibu maumivu ya kichwa..
Uchezaji wa Giroud unakatisha tamaa. He's not interested, disjointed, unwilling kabisa. Jana kanibore vibaya mno.
Kuumia kwa Arteta kunaweza kumfanya Wenger aende sokoni, we need a solid DM and a striker. Otherwise CL mwama huu itakuwa ngumu.
 
Uchezaji wa Giroud unakatisha tamaa. He's not interested, disjointed, unwilling kabisa. Jana kanibore vibaya mno.
Kuumia kwa Arteta kunaweza kumfanya Wenger aende sokoni, we need a solid DM and a striker. Otherwise CL mwama huu itakuwa ngumu.

Et mfungaj geroud duu ars bhana
 
.....mmeanza ee?! Majani ya mpapai yeshachipua? Hahah....jana ilikuwa pre-season tu, subiria mziki wetu Imarati, thts y hukuniona na comment lolote kwa hizi 'friendly' matches...


#MosKwito !

We will be around ready with that infamous laugh: "khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeee"
 
Bora arteta kaumia nadhani prof atapata ushawishi wa kuleta mkata umeme, kwa maoni yangu wanyama anafaa sana.
 
Kokoto kokoto, game ilikuwa tight sana imefanya hata tuwe na hamu zaidi ya kutazama marudiano..wasumbufu iila tutawafundisha adabu Emirates..

Mimi pia ni arsenal ila lazima niseme, kwa mechi ka ya jana, tulizidiwa. Lazima tujue kucheza na mechi za away vizuri. Le professeur naona kama hana tactics za mchezo. Yaani yeye anawaambia tu wachezaji nendeni mkacheze mpira bila kujali tunacheza na nani. Sidhani kama mwaka huu utakuwa wa mavuno kwa mbinu zake. Mbinu zake ni mbovu sana. Simkubali.
 
Kwa kweli Hassan wenger itabidi asajili DM sio Wanyama tu hata Tiote yuko vizuri.
 
Khe khe khe khe khe khe keeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie, kuna vimburukenge ati vimeshakuwa na hamu na matokeo ya Gunners chichi hatuna wasi wasi, wenye wasi wasi ni nyie ambao timu zenu zinataabika, Gunners mziki wetu mnene mark my words, hivi sasa tunajiandaa kwenda kucheza na Evertonians, kama mna hamu zaidi jongeeni Emirates muone radi watakayopata hao wachezaji waliozoea kucheza kwenye kokoto.


COYG

Mentor vipi umekwisha Wacha kufanya kazi yako uliyozoea. i.e. mentoring i d i o t s at the cow shed!
 
Nilishawahi kukwambia Wilshere hana tofauti na Cleverley

NO. amemzidi Cleverly, sema tatizo la dogo hayupo katika kiwango cha kuchezea timu kubwa kama Arsenal kama vile Cleverly asivyo katika kiwango cha kuchezea Man Utd. Tatizo ninalomuona analo ni ana zile za anao anao hajui muda mwafaka wa kutoa pasi pili dogo ni nyoronyoro sana, akipewa upaja anaanguka chini.
 
NO. amemzidi Cleverly, sema tatizo la dogo hayupo katika kiwango cha kuchezea timu kubwa kama Arsenal kama vile Cleverly asivyo katika kiwango cha kuchezea Man Utd. Tatizo ninalomuona analo ni ana zile za anao anao hajui muda mwafaka wa kutoa pasi pili dogo ni nyoronyoro sana, akipewa upaja anaanguka chini.

Auzwe! Nishamchoka, na waingereza wote wa Arsenal ukitoa Chambers, wako wa kawaida tu.
 
Back
Top Bottom