Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huu ni mwanzo tu wa usajili kwa Arsenal na kesho Debuchy nae atatangazwa kuwa mchezaji wa Arsenal ambae atagharimu kama milioni 10 hivi.

Baada ya hapo wanatafutwa mlinzi kiungo na golikipa.

Thomas Vermaelen ameambiwa hawezi kwenda kokote endapo hatapatikana beki mwingine wa kuziba nafasi yake.

COYG!
 
Yeah, this is ndiyo mambo tunayoyapenda wana Arsenal. Wale msiotutakia mema subirini dozi zenu mwezi ujao.
 
Debuchy tunatarajia leo mambo yatakuwa saafi, pia Kuna tetesi kuwa Sami Khedira, Ospina, na Loic Remy!!au tukimpata Schneiderin wa Southampton kama kiungo mkabaji, si mbaya! Sanchez hapo tumepata Jembe! Alafu jezi zetu mpya zinazoandaliwa na puma utazipenda mwaka huu, lazima nipate yangu genuine. Pia mwendo ni dozi tu.
 
Bonge ya Sign nimelikubali ila roho inasema dah tehtehteh! Ila jamaa Original sio China ya Kariakoo hongereni.

Wakati ambapo liverpool wanamuondoa mmoja wa wachezaji wanaoichangamsha ligi na kuifanya lig yenye mvuto kwa upande wa Gunners ni kinyume chake yaan wanaingia wachezaji wa kuichangamsha lig na kuifanya yenye mvoto.
Teh teh teh teh Maaisha bhana ni mpishano tu.
 
Debuchy tunatarajia leo mambo yatakuwa saafi, pia Kuna tetesi kuwa Sami Khedira, Ospina, na Loic Remy!!au tukimpata Schneiderin wa Southampton kama kiungo mkabaji, si mbaya! Sanchez hapo tumepata Jembe! Alafu jezi zetu mpya zinazoandaliwa na puma utazipenda mwaka huu, lazima nipate yangu genuine. Pia mwendo ni dozi tu.

Khedira ana uzoefu na angesaidia sana kwenye sehemu ya kiungo kama DM lakini atagharimu pesa nyingi sana kwenye mshahara. Tayari Mesut Ozil analipwa paundi 150,000 kwa wiki na sasa Sanchez nae analipwa paundi 140,000 kwa wiki.

Kwa tunavyomfahamu Wenger hataweza kuvuta tena mchezaji wa aina ya Khedira ingawa Khedira nafasi yake pale Real Madrid inatishiwa na ujio wa Tony Kroos.

Wenger ana option ya kwenda tena Bayern na kumsajili Lars Bender ambae anaweza kugharimu kama milioni 22 hivi paundi na akachukua kama paundi 90,000 hivi kwa wiki.

Ila bado Arsenal wapo kwenye soko na wanatafuta wachezaji ukizingatia wamewaruhusu wachezaji 7 kuondoka.
 
Congratulation kwa Gunners wote huu ni mwanzo mzuri sasa tunahtaji DM, RB na straiker mwingne m1 hata akiwa Loic Remy si mbaya pia na center back endapo kama TV5 Ataondoka.
BTW hii inaleta matumain kuwa panick signing inaweza isitokee kwa Gunners msimu huu.
..COYG...
 
BREAKING NEWS!!!!!

Sami Khedira amekataa kusaini mkataba mpya na timu yake ya Real Madrid.

Sami ambae ni rafiki mkubwa wa Mesut Ozil na Per Mertesacker na wote wapo nchini Brazil kwenye WC, amesisitiza kwamba anafikiria nini cha kufanya.

Lakini inawezekana kwamba Wenger tayari amefanya uamuzi wa kwenda na Sami Khedira badala ya Lars Bender wa Bayern Leverkusen.

Khedira amebakiwa na miezi 12 kwenye mkataba wake.
 
Wakuu huu ndio uzi Original.

arsenalll.png
 
Congratulation kwa Gunners wote huu ni mwanzo mzuri sasa tunahtaji DM, RB na straiker mwingne m1 hata akiwa Loic Remy si mbaya pia na center back endapo kama TV5 Ataondoka.
BTW hii inaleta matumain kuwa panick signing inaweza isitokee kwa Gunners msimu huu.
..COYG...

.......#VassirikiAbuuDiaby

ImageUploadedByJamiiForums1405042481.733943.jpg

Is a like a "New" DM signing.


#MosKwito !
 
The problem with this one ni kwamba anakumbwa na majeruh ya mara kwa mara halafu siku zote hayupo consistency katika kiwango chake, but all in all lets wait and seen what Prof will do.

Nami simwamini. Ila tutaona, cha muhimu ni lazima kupata jembe jipya idara hiyo.

........mmesahau Robin Van Persie na Samir Nasri walivyokuwa majeruhi mara kwa mara ila msimu waliong'ara waling'ara kweli?!

Ramsey.......


#MosKwito !
 
Back
Top Bottom