Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

article-2692498-1FA07DC900000578-192_634x480.jpg


Prof kawaeleza wapumnzike hadi d-day ya EPL .... ..... .... .


article-2692498-1FA094FC00000578-690_634x410.jpg


Come on boys .... ..... ... ...
 
Kila mwaka kabla ya msimu kuanza tunasikia pundits wakisema Arsenal wataishia nje ya top 4, Arsenal hawatabeba kombe lolote,Arsenal this Arsenal that na kila msimu Arsenal tunawa-proove wrong.Michael Owen kawa wa kwanza mwaka huu kufungua mdomo wake juu ya Arsenal anategemea itamaliza ligi ikiwa nje ya top 4. Hivi huyu jamaa alikuwa wapi mwanzoni mwa msimu uliopita si angetutabiria kuwa Man Utd ingeishia nafasi ya 7 vile vile angetutabiria jinsi timu yake kipenzi Liverpool na mshikaji wake SG wangevyoukosa ubingwa hivi hivi.

Arsenal won't even finish fourth: Michael Owen doesn't rate Gunners' title bid | Football | Sport | Daily Express
 
Kwanz Me nimefurahi sana kusikia huo utabiri wake kwa maana siku zote huwa tunamprove wrong kwa kile alichokitabili juu yetu huyu MO, hata Msimu uliopita alitutabiria kuwa hatutafanikiwa kupita katika Group Stage za CL but tukamwonesha kuwa tunaweza kuliko anavyofikia yeye.

Ngoja nione mwisho wa Msimu hizo timu alizozipa Ubingwa na matop four tuone kama atapatia kuitabilia Team yoyote katika mtiririko sahihi kama alivyosema.
Kapangikia hivi:
1. Chesick
2. Man City
3. Man U
4. Liverpool
 
Mnakaribishwa kuja kufanya shopping Turin.Conte kajiuzulu now Vidal,Pogba,wako available for sale.
 
Kila mwaka kabla ya msimu kuanza tunasikia pundits wakisema Arsenal wataishia nje ya top 4, Arsenal hawatabeba kombe lolote,Arsenal this Arsenal that na kila msimu Arsenal tunawa-proove wrong.Michael Owen kawa wa kwanza mwaka huu kufungua mdomo wake juu ya Arsenal anategemea itamaliza ligi ikiwa nje ya top 4. Hivi huyu jamaa alikuwa wapi mwanzoni mwa msimu uliopita si angetutabiria kuwa Man Utd ingeishia nafasi ya 7 vile vile angetutabiria jinsi timu yake kipenzi Liverpool na mshikaji wake SG wangevyoukosa ubingwa hivi hivi.

Arsenal won't even finish fourth: Michael Owen doesn't rate Gunners' title bid | Football | Sport | Daily Express

na kwa miaka tisa mfululizo walikuwa sahihi....last EPL title lini vile?? still counting.
 
hawana shida na kombe la ligi, FA inawatosha ha ha ha ha Ozil+Per+Podolski = magoli mangapi?
Andre Schurrle = magoli 3.

Mtu mmoja wa CHELSEA FC kawashinda wachezaji 3 wa Arsenal Fc..

:A S-eek:
na kwa miaka tisa mfululizo walikuwa sahihi....last EPL title lini vile?? still counting.
 
na kwa miaka tisa mfululizo walikuwa sahihi....last EPL title lini vile?? still counting.

Acha kuchekesha umma, kila mwaka wanasema Arsenal wata drop out of top 4 haijatokea kuwa kweli.Cha ajabu tumeona Liverpool na Man United wakikosa UCL. Summer iliyopita walisema Arsenal hawatabeba kombe lolote FA Cup limetua Emirates stadium. Juu ya Epl is matter of time within misimu 2 tutakuwa champions
 
Acha kuchekesha umma, kila mwaka wanasema Arsenal wata drop out of top 4 haijatokea kuwa kweli.Cha ajabu tumeona Liverpool na Man United wakikosa UCL. Summer iliyopita walisema Arsenal hawatabeba kombe lolote FA Cup limetua Emirates stadium. Juu ya Epl is matter of time within misimu 2 tutakuwa champions

oooooh sorry mkuu....kumbe unazungumzia 'trophy yenu ya 4th place' ha ha hio hamjawahi kukosa kweli walikuwa wanachemka....mimi nilifikiri ni trophy tulizozoea sisi yaani EPL TITLE na EUFA CHAMPIONS LEAGUE......tangu mara ya mwisho mchukue EPL man utd kashachukua mara nne sijui hata sikumbuki na CL moja.....wacha nichekeshe umma!!! 10yrs and still counting
 
hawana shida na kombe la ligi, FA inawatosha ha ha ha ha Ozil+Per+Podolski = magoli mangapi?
Andre Schurrle = magoli 3.

Mtu mmoja wa CHELSEA FC kawashinda wachezaji 3 wa Arsenal Fc..



:A S-eek:

aah kweli wewe unawajua rubaman kanishushua hapa eti washachukua '4th place title' miaka yote sisi ndio tumekosa!
 
Last edited by a moderator:
Kila mwaka kabla ya msimu kuanza tunasikia pundits wakisema Arsenal wataishia nje ya top 4, Arsenal hawatabeba kombe lolote,Arsenal this Arsenal that na kila msimu Arsenal tunawa-proove wrong.Michael Owen kawa wa kwanza mwaka huu kufungua mdomo wake juu ya Arsenal anategemea itamaliza ligi ikiwa nje ya top 4. Hivi huyu jamaa alikuwa wapi mwanzoni mwa msimu uliopita si angetutabiria kuwa Man Utd ingeishia nafasi ya 7 vile vile angetutabiria jinsi timu yake kipenzi Liverpool na mshikaji wake SG wangevyoukosa ubingwa hivi hivi.

Arsenal won't even finish fourth: Michael Owen doesn't rate Gunners' title bid | Football | Sport | Daily Express

huyu jamaa toka msimu uliopita hajawahi kuisema kwa mema Gunners and i think ana arrage nayo na hii binafsi nadhan ni kutokana na msimamo wa Wenger kutokupendelea kwa sana wachezaji wenzake wa kingereza, lakini yote kwa yote hizo ngebe zake zitakwisha tu.
 
oooooh sorry mkuu....kumbe unazungumzia 'trophy yenu ya 4th place' ha ha hio hamjawahi kukosa kweli walikuwa wanachemka....mimi nilifikiri ni trophy tulizozoea sisi yaani EPL TITLE na EUFA CHAMPIONS LEAGUE......tangu mara ya mwisho mchukue EPL man utd kashachukua mara nne sijui hata sikumbuki na CL moja.....wacha nichekeshe umma!!! 10yrs and still counting

Watu na Episode zenu!! Ilikuwa miaka kadhaa bila kikombe chochote, sasa mmeanza na episode nyingine ya Miaka kadhaa bila EPL Haya bhana endeleen kutupangia vikombe vya kuchukua.
 
Louis van Gaal: “For me, the challenge is always coming first, not fourth."

Wenger won't be Happy
 
Back
Top Bottom