Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mkuu amini kitu kilichotangazwa ktk Arsenal.com sio ktk Twitter, Daily mail,Daily Star ,goal.com,etc . kwa kifupi ukisikia hii trade imekuwa confirmed na Arsenal wenyewe ndo uamini ama sivyo ni speculation zisizo na kichwa wala miguu

ila hii nahisi inakaukweli ndani yake
 
mkuu amini kitu kilichotangazwa ktk Arsenal.com sio ktk Twitter, Daily mail,Daily Star ,goal.com,etc . kwa kifupi ukisikia hii trade imekuwa confirmed na Arsenal wenyewe ndo uamini ama sivyo ni speculation zisizo na kichwa wala miguu

Mkuu wewe ni Arsenal fan ama?

Hii habari haijatoka mahala popote kati ya hizo source ulizotaja.

Hata hivyo karibu Arsenal Suppoters Trust.

Au ingia kabisa kwenye tovuti arsenaltrust.org
 
Mkuu wewe ni Arsenal fan ama?

Hii habari haijatoka mahala popote kati ya hizo source ulizotaja.

Hata hivyo karibu Arsenal Suppoters Trust.

Au ingia kabisa kwenye tovuti arsenaltrust.org

Mkuu nadhani tumepishana lugha. nilichomaanisha ni kuwa baadhi ya sources mfano wa nilizozitaja huwa haziwi za kweli. Mfano msimu uliopita kuna source kibao zilikuwa zinasema Arsenal wameshasajili Higuan, Draxler unajua kilichotokea. Kama umesahau Arsenal ni moja ya timu ambazo usajili wake unakuwa siri sana (mfano usajili wa Ozil ulivyokuwa siri hadi walipotangaza) ndo maana nimesema hadi itangazwe katika website ya Arsenal ndo itakuwa uhakika, na uanze kushangilia. Juu ya hizo source sasa hivi kuna tetesi kibao online e.g Twitter, na web za magazeti kadhaa ya UK juu ya kukamilishwa kwa usajili wa Sanchez na Debuchy ndo maana nimesema nilivyosema.
 
Mkuu nadhani tumepishana lugha. nilichomaanisha ni kuwa baadhi ya sources mfano wa nilizozitaja huwa haziwi za kweli. Mfano msimu uliopita kuna source kibao zilikuwa zinasema Arsenal wameshasajili Higuan, Draxler unajua kilichotokea. Kama umesahau Arsenal ni moja ya timu ambazo usajili wake unakuwa siri sana (mfano usajili wa Ozil ulivyokuwa siri hadi walipotangaza) ndo maana nimesema hadi itangazwe katika website ya Arsenal ndo itakuwa uhakika, na uanze kushangilia. Juu ya hizo source sasa hivi kuna tetesi kibao online e.g Twitter, na web za magazeti kadhaa ya UK juu ya kukamilishwa kwa usajili wa Sanchez na Debuchy ndo maana nimesema nilivyosema.

Ni kweli unavyosema, lakini safari hii Arsenal wanamtaka Sanchez baada ya kukamilisha suala la Mathieu Debuchy.

Mpaka sasa Barcelona wamekubali 34 milioni ilowekwa mezani na Arsenal isipokuwa kuna timu zingine kama Juventus ambao nao wanamtaka mshambuliaji huyo.

Sanches atakuwa mchezaji pekee wa Arsenal ambae atalipwa paundi 130,000 kwa wiki, na hiyo ni statement of intent kutoka kwa Arsenal wa wahasimu wetu.

Ila Olivier Giroud lazima apate mshindani.

Arsene Wenger amekwishaweka vipaumbele kwa mshambuliaji, mlinzi wa kuziba nafasi ya Bacary Sagna na kiungo mlinzi.

Sasa utakuja kushangaa Arsenal hadi kufikia mwisho wa usajili wanatangaza wachezaji wafuatao , Alexis Sanches, Mathieu Debuchy na Lars Bender wa Bayern Leverkusen ya Ujerumani. Utakumbuka mwaka jana Arsenal walikataliwa dau lao la milioni 19. Tunataka Bender aje azibe nafasi ya Mikael Arteta.

Hapo tunaweza kutumia kama paundi milioni 60 na ushei.
 
Bomba mno...kaenda kutazama kandanda inayochezwa atakavyo..

kweli kabisa, kama anavyotaka yeye mwenyewe le profeseri.
311185_10152208592360363_397907514_n.jpg


ili kuongeza taarifa sahihi hapo, le profeseri alifanikiwa kunyanyua ndoo ya FA mwaka 2014 kwa kuifunga timu ngumu ya HULL CITY

 
205292_263536607085843_1688354515_n.jpg




Wakuu mpo?

Ama kwa hakika kuna patashika na mchana wa leo Arsenal wameongeza dau kwa Alexis Sanchez na limefikia milioni 32 paundi.

Barcelona wamekubali dili hilo pamoja na mpango mzima wa malipo.

Counter attack hiyo imefanywa na Arsenal baada ya timu za Man City, Man Utd na Chelsea pamoja na Liverpool kuanza kuweka madau yao kwa mchezaji huyo.

Lakini Sanchez na wawakilishi wake wameona sense na kukubali hiyo offer ambayo ni kubwa kabisa kutokea kwa Arsenal kusajili mshambulaji baada ya ile milioni 42 waliyotoa kwa kiungo Mesut Ozil.

Wenger bado yupo Brazil mpaka Jumapili ijayo ndipo arudi London na Ivan Gazidis na Dick Law pamoja na wataalam wengine wa negotiations wapo Brazil na London kumalizia mambo.

Kama mambo yatakwenda ilivyopangwa, tarehe 10 mwezi huu Arsenal watatangaza aina mpya ya uzi wa Puma ambao umebeba deal la paundi milioni 150 ambazo ni pesa nyingi sana kuweza kutolewa kwa timu ya PL kama ya Arsenal. Pia wachezaji wa timu hio watapiga picha ya pamoja kuonyesha kikosi kamili na huenda wachezaji wapya wakawemo.

Dau hili la ufadhili linazidi paundi milioni 30 ambazo NIKE walikubaliana na Manchester Utd miaka kadhaa ilopita.

Hebu tuangalie recodi ya Sanchez akiwa Barca.

432170.jpg

Meneja Arsene Wenger amewekea umuhimu usajili wa Alexis Sanchez.
 
article-0-1F7AA11100000578-723_306x423.jpg


Ramsey in training ....


article-0-1F79CB1400000578-580_634x450.jpg


Gibbs alikuwepo ..... .


article-0-1F79CABD00000578-201_634x553.jpg



article-2684649-1F79CE0C00000578-735_634x416.jpg


Weren't you at the World Cup? Ramsey, Mathieu Flamini
and Kieran Gibbs exchange words

article-2684649-1F79C93900000578-252_634x432.jpg


The boys are back in town: Arsenal's players went through
an unusual session looking to build fitness

article-2684649-1F79C91600000578-777_634x531.jpg


Unfamiliar: Even injury-plagued Abou Diaby
took part in the pre season session

article-2684649-1F79CEF600000578-662_634x485.jpg



Chums: Wojciech Szczesny poses for a photo
with Carl Jenkinson - who also looks a bit like Beckham!


article-2684649-1F79C8F000000578-639_634x419.jpg


Hands up: Arsenal's depleted squad
are put through their paces at London Colney

article-2684649-1F79CEB300000578-917_634x409.jpg


Bulking up: Nacho Monreal hits the weights
on Day Two of pre season training

article-2684649-1F79C90D00000578-725_634x466.jpg


Unflustered: Mikel Arteta had the summer off
while his nation Spain struggled at the World Cup
 
article-2687497-1F8D536300000578-62_634x420.jpg


Fired up: Alexis Sanchez has joined Arsenal from Barcelona
in a move that will delight and excite Gunners fans






article-2687497-1F8D52F000000578-212_634x509.jpg




Looking forward: Sanchez is Arsene Wenger's first signing fo the summer


Sanchez said: "I'm so happy to be joining Arsenal, a club which has a great manager, a fantastic squad of players, huge support around the world and a great stadium in London. I'm looking forward to meeting my new team-mates and to be playing for Arsenal in the Premier League and Champions League. I will give my best to Arsenal and want to make all the supporters happy."

Kijana alitua Colney kufanyiwa uchunguzi maalum na mambo yamekwenda mswano ..... ...
 
Back
Top Bottom