Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyo na mwenzake Arshavin mimi nawaona useless tu kipindi hiki(cha msimu)
Kutokana na system tunayocheza Arshavin bila Bendtner ama RVP anaonekana useless, kwa vile inabidi acheze kama target man kitu ambacho ni vigumu kwake, huyu ana-fiti zaidi kucheza free roll behind strikers. Partneship ya Eduardo na Arshavin just will never work, ndio maana tunalilia (targetman) pale mbele
 
[ame="http://http://www.youtube.com/watch?v=960LW48rIRM&feature=related"]http://http://www.youtube.com/watch?v=960LW48rIRM&feature=related[/ame]

[ame="http://http://www.youtube.com/watch?v=8fjvHQ1tUw8&feature=related"]http://http://www.youtube.com/watch?v=8fjvHQ1tUw8&feature=related[/ame]
 
Refa alikuwepo pale pale,mbona hakupiga kipyenga bana

Refa kutokupiga kipenga haimaanishi kwamba haikuwa faulo, labda hakuona (which I doubt) au kaamua kubeba Arse....na Arse kwa sababu walikuwa desperate hawakutaka kutoa fair play! Hiyo ndio turning point ya mechi hii maana yule jamaa (Mark Davies) ndio alikuwa mchezaji wao mzuri kwa mechi ya leo, kwa hiyo alivyotoka Arse wakapata nafasi na kushinda. Huwezi kuangalia haya mambo kwa sababu uko very biased!
 
kwa hiyo wakuu mnataka kusema sio foul ile?! ok subiri siku itokee kwenu msije lialia hapa....nafikiri Kweli yuko honest.

Hatujasema hivyo mkuu! tunachosema kuwa yote yalifanyika kwenye macho ya mwamuzi, isingekuwa taabu kama refa angepuliza lakini kwa kuwa hakupiga filimbi, bahati inabaki kuwa yetu kwa leo. Kama hujafuatilia vizuri mpira umeisha tumeshinda 4- 2!
 
Try to be honest, hilo bao la pili refa kachemka....Gallas alistahili kadi nyekundu kwa hiyo foul....na Arsenal hata bila aibu hawakutaka kutoa mpira nje...no fair play there!

Refa kutokupiga kipenga haimaanishi kwamba haikuwa faulo, labda hakuona (which I doubt) au kaamua kubeba Arse....na Arse kwa sababu walikuwa desperate hawakutaka kutoa fair play! Hiyo ndio turning point ya mechi hii maana yule jamaa (Mark Davies) ndio alikuwa mchezaji wao mzuri kwa mechi ya leo, kwa hiyo alivyotoka Arse wakapata nafasi na kushinda. Huwezi kuangalia haya mambo kwa sababu uko very biased!

...duuuuh, yaaani mkuu bado hutaki tuu? haya basi 3-2!... sie haooo tunawasha indicator... byeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Refa kutokupiga kipenga haimaanishi kwamba haikuwa faulo, labda hakuona (which I doubt) au kaamua kubeba Arse....na Arse kwa sababu walikuwa desperate hawakutaka kutoa fair play! Hiyo ndio turning point ya mechi hii maana yule jamaa (Mark Davies) ndio alikuwa mchezaji wao mzuri kwa mechi ya leo, kwa hiyo alivyotoka Arse wakapata nafasi na kushinda. Huwezi kuangalia haya mambo kwa sababu uko very biased!

Mzee unakomaa mpaka basi,anyways game imeisha,tumeshinda 4-2
 
...duuuuh, yaaani mkuu bado hutaki tuu? haya basi 3-2!... sie haooo tunawasha indicator... byeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Hahahahaha! Hongereni sana kwa ushindi....endeleeni kupasha joto hapo juu kabla ya wenye kiti hatujarudi kutoka likizo.😉
 
mechi imekwisha top of the table on goal difference lets hope we remain focused and consistence.
Tujipongeze wana Gunners kwa msimamo wa ligi na kucheza kwa kipindi kirefu cha msimu bila ya wachezaji wetu muhimu, tuombee wachezaji wetu muhimu Bendtner, Walcott etc warudi na bila shaka watatusukuma mpaka mwisho wa hizi mbio na hatimae tutaibuka washindi.
 

Mafioso walikuwepo hapa nini?

_47153289_rosicky2_pa766.jpg




Rosicky anaweka chuma cha kwanza
 
Mafioso wajinyonge wanashika nafasi ya pili khe khe khe khe
 
Try to be honest, hilo bao la pili refa kachemka....Gallas alistahili kadi nyekundu kwa hiyo foul....na Arsenal hata bila aibu hawakutaka kutoa mpira nje...no fair play there!

Sijui huwa unaangalia mpira wapi Emirates hakuna shamba. Almunia aliokoa goli wakati Denilson alipo-collapse na wenger alisema next time aunawe mpira hata mwezi haujapita, naona una makengeza. Hivi wewe peasant kwa akili yako unafikiri Trotters walikuwa washinde hii mechi? Kama una mawazo hayo ni sawa kwa sababu ya Umafia wenu pale darajani.

Tuliisha sema tangu hata mechi ya kwanza haijachezwa hizi ni point 6 za bure.
 
Back
Top Bottom