Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Arsenal 1 Bolton 2
Ndiyo ubaya wa hizi mechi za back to back. Jamaa wanakuwa bado na usongo cha kipigo cha mchezo waliopita. Nilikuwa na wasiwasi kwamba they are going to jump on us with a quick goal or two na wasiwasi wangu umekuwa kweli. Na hatuna rekodi nzuri ya kupanda mlima mrefu kiasi hiki. Vijana wajitahidi angalau tuambulie hata kapoint kamoja. 🙁
Bala dua lako na likubaliwe, ila Wenger lini atasoma? tunahitaji cover imara kila idara hivi sasa kikosi chetu ni finyu, hatuna cover idara ya ushambuliaji na akiumia Fabregas ama kukosekana kwa Song tunayumba pale kati, akiumia Gallas ama Vermaellean ndio tumekwisha kabisa.Kaka Tunashinda leo,tena ikiwezekana 4-2
Kaka Tunashinda leo,tena ikiwezekana 4-2
pumzi moja ndeeeeeeeeeeefu!!
Try to be honest, hilo bao la pili refa kachemka....Gallas alistahili kadi nyekundu kwa hiyo foul....na Arsenal hata bila aibu hawakutaka kutoa mpira nje...no fair play there!
Try to be honest, hilo bao la pili refa kachemka....Gallas alistahili kadi nyekundu kwa hiyo foul....na Arsenal hata bila aibu hawakutaka kutoa mpira nje...no fair play there!
Try to be honest, hilo bao la pili refa kachemka....Gallas alistahili kadi nyekundu kwa hiyo foul....na Arsenal hata bila aibu hawakutaka kutoa mpira nje...no fair play there!