Hahahahaha! Hongereni sana kwa ushindi....endeleeni kupasha joto hapo juu kabla ya wenye kiti hatujarudi kutoka likizo.😉
Mzee unakomaa mpaka basi,anyways game imeisha,tumeshinda 4-2
...Now you are talking. Ahsante sana 😀
hayo ya kupasha kiti moto, sijui likizo, sisi hatuelewi.
Hongereni wakuu.
Naona mpo kileleni....sijui kwa m'da gani lakini.
Mkuu kweli tupo kileleni lakini mechi zifuatazo zinanipa headache zinafululiza mechi mbaya sana kwetu angalia hii hizo mechi nne mfululizo hapo pekundukwa muda mrefu ujao🙂🙂🙂
The FA CupAStoke City 13:30 ITV1 http://www.arsenal.com/match-menu/3234378/first-team/stoke-city-v-arsenal27Wed
Barclays Premier LeagueAAston Villa 19:45 ATVO http://www.arsenal.com/match-menu/3150808/first-team/aston-villa-v-arsenal31Sun
Barclays Premier LeagueHManchester United 16:00 SS1 http://www.arsenal.com/match-menu/3214688/first-team/arsenal-v-manchester-unitedFebruary 07Sun
Barclays Premier LeagueAChelsea 16:00 SS1 http://www.arsenal.com/match-menu/3221546/first-team/chelsea-v-arsenal10Wed
Barclays Premier LeagueHLiverpool 19:45 SS1 http://www.arsenal.com/match-menu/3221548/first-team/arsenal-v-liverpool13Sat http://www.arsenal.com/_scripts/ical.ics?fid=171520The FA CupNRound 5 ATVO http://www.arsenal.com/match-menu/171520/first-team/-v-arsenal17Wed
UEFA Champions LeagueAFC Porto 19:45 ATVOkwa muda mrefu ujao🙂🙂🙂
Mkuu kweli tupo kileleni lakini mechi zifuatazo zinanipa headache zinafululiza mechi mbaya sana kwetu angalia hii hizo mechi nne mfululizo hapo pekundu
24SunThe FA CupAStoke City 13:30 ITV1
27Wed
Barclays Premier LeagueAAston Villa 19:45 ATVO
31Sun
Barclays Premier LeagueHManchester United 16:00 SS1
FebruaryFA
07Sun![]()
Barclays Premier LeagueAChelsea 16:00 SS1
10Wed
Barclays Premier LeagueHLiverpool 19:45 SS1
13Sat
The FA CupNRound 5 ATVO
17Wed
UEFA Champions LeagueAFC Porto 19:45 ATVO
Mkuu kweli tupo kileleni lakini mechi zifuatazo zinanipa headache zinafululiza mechi mbaya sana kwetu angalia hii hizo mechi nne mfululizo hapo pekundu
24SunThe FA CupAStoke City 13:30 ITV1
27Wed
Barclays Premier LeagueAAston Villa 19:45 ATVO
31Sun
Barclays Premier LeagueHManchester United 16:00 SS1
FebruaryFA
07Sun![]()
Barclays Premier LeagueAChelsea 16:00 SS1
10Wed
Barclays Premier LeagueHLiverpool 19:45 SS1
13Sat
The FA CupNRound 5 ATVO
17Wed
UEFA Champions LeagueAFC Porto 19:45 ATVO
Gaadem mhuni wangu,
sijui niseme ni uzalendo ama ubishi ama nguvu za soda?
Haya tusubiri. Naona hata Man U hamuwataji tena kama tishio.
Kaka 100% hapo umenenaNever Give Up
mkuu naona umezoea wewe na man united kubebwa tu sisi unaona haramu sio. unaulizia fair play mbona juzi denilson alivyoumia ukuulizia fair play kutoka kwa everton? acha sisi tu-enjoy ushindi mkuu.Try to be honest, hilo bao la pili refa kachemka....Gallas alistahili kadi nyekundu kwa hiyo foul....na Arsenal hata bila aibu hawakutaka kutoa mpira nje...no fair play there!