Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

arse-live_970591a.jpg



 
Hahahahaha! Hongereni sana kwa ushindi....endeleeni kupasha joto hapo juu kabla ya wenye kiti hatujarudi kutoka likizo.😉

...Now you are talking. Ahsante sana 😀
hayo ya kupasha kiti moto, sijui likizo, sisi hatuelewi.

 
Sasa naweza lala usingizi wa mang'amung'amu baada ya kushuhudia tukiwa kileleni.

Ths z wot any day is to end haki
 
kwa muda mrefu ujao🙂🙂🙂
Mkuu kweli tupo kileleni lakini mechi zifuatazo zinanipa headache zinafululiza mechi mbaya sana kwetu angalia hii hizo mechi nne mfululizo hapo pekundu

24Sun The FA CupAStoke City 13:30 ITV1 http://www.arsenal.com/match-menu/3234378/first-team/stoke-city-v-arsenal27Wed Barclays Premier LeagueAAston Villa 19:45 ATVO http://www.arsenal.com/match-menu/3150808/first-team/aston-villa-v-arsenal31Sun Barclays Premier LeagueHManchester United 16:00 SS1 http://www.arsenal.com/match-menu/3214688/first-team/arsenal-v-manchester-unitedFebruary 07Sun Barclays Premier LeagueAChelsea 16:00 SS1 http://www.arsenal.com/match-menu/3221546/first-team/chelsea-v-arsenal10Wed Barclays Premier LeagueHLiverpool 19:45 SS1 http://www.arsenal.com/match-menu/3221548/first-team/arsenal-v-liverpool13Sat http://www.arsenal.com/_scripts/ical.ics?fid=171520The FA CupNRound 5 ATVO http://www.arsenal.com/match-menu/171520/first-team/-v-arsenal17Wed UEFA Champions LeagueAFC Porto 19:45 ATVO
 
Mkuu kweli tupo kileleni lakini mechi zifuatazo zinanipa headache zinafululiza mechi mbaya sana kwetu angalia hii hizo mechi nne mfululizo hapo pekundu

24Sun The FA CupAStoke City 13:30 ITV1 27Wed Barclays Premier LeagueAAston Villa 19:45 ATVO 31Sun Barclays Premier LeagueHManchester United 16:00 SS1 FebruaryFA
tv-icon.gif
07Sun
Barclays Premier LeagueAChelsea 16:00 SS1 10Wed Barclays Premier LeagueHLiverpool 19:45 SS1 13Sat The FA CupNRound 5 ATVO 17Wed UEFA Champions LeagueAFC Porto 19:45 ATVO

Ngoja tusubiri na tuone poti,ila nina uhakika tutafanya vizuri maana hata wachezaji wetu majeruhi wanapona sasa...Cha msingi AW afanye manunuzi ya maana
 
Mkuu kweli tupo kileleni lakini mechi zifuatazo zinanipa headache zinafululiza mechi mbaya sana kwetu angalia hii hizo mechi nne mfululizo hapo pekundu

24Sun The FA CupAStoke City 13:30 ITV1 27Wed Barclays Premier LeagueAAston Villa 19:45 ATVO 31Sun Barclays Premier LeagueHManchester United 16:00 SS1 FebruaryFA
tv-icon.gif
07Sun
Barclays Premier LeagueAChelsea 16:00 SS1 10Wed Barclays Premier LeagueHLiverpool 19:45 SS1 13Sat The FA CupNRound 5 ATVO 17Wed UEFA Champions LeagueAFC Porto 19:45 ATVO

Hakuna mechi ngumu hapo, kumbuka unaongelea Arsenal timu inayocheza mpira wa kufundishwa sio wa kununua kwa fweza kama Chelsick, sahau Manure na Loserfools hao ni vibonde tu ingawaje kuna kipofu moja kaona mbalamwezi leo. Kunywa kahawa na enjoy huu mwaka tunawabamiza tu.
 
Jana MANU waliikimbia Thread yao sikumuona mtu pale zaidi ya mkuu BALATANDA nami tukijitahidi kuwapatia kinachoendelea lakini hawakutokea tulijitahidi kuwa macommentator wa muda kwa wasiokuwa na BBC angalau wasiseme kuwa hawakujua ni nini kinachoendelea lakini wapi ka vile walijua kuwa watararuliwa na Simba. Bora sisi tumejitokeza angalau kusherehekea huu msukani wa ligi kupitia hapa kwenye thread yetu Big up wana Gunners.
 
wakuu mlifaidi sana game,mie kazi zilinibana sema nilikuwa nakamata updates hivyo hivyo na hapa narudia game. Nashukuru sana vijana wameonesha wako matured zamani ngoma ingelala pale.

ushindi mkubwa sana mie mtanisamehe naomba kesho cameroon wafungwe hili SONG arudi kutusaidia kumalizia kazi nzito iliokuwa mbeleni.


its good to be a gooner.
 
Try to be honest, hilo bao la pili refa kachemka....Gallas alistahili kadi nyekundu kwa hiyo foul....na Arsenal hata bila aibu hawakutaka kutoa mpira nje...no fair play there!
mkuu naona umezoea wewe na man united kubebwa tu sisi unaona haramu sio. unaulizia fair play mbona juzi denilson alivyoumia ukuulizia fair play kutoka kwa everton? acha sisi tu-enjoy ushindi mkuu.
 
Back
Top Bottom