Team na wachezaji wa team nisiowapenda duniani basi ni ARSENAL
Hapana! Wenger sio talent scout wa Man City, isipokuwa Mancity ni tawi la kuiingizia Arsenal mapato. Ebu cheki hii:
1.Emmanuel Adebayor-alinunuliwa kwa 7mil , akauzwa Mancitu kwa 25mil, faida 18mil.
2.Kolo Toure-alinunuliwa kwa 150,000, akauzwa Mancitu kwa 16mil, faida 15.85mil
3.Gael Cliche-alinunuliwa kwa 250,000, akauzwa Mancitu kwa 6, faida 5.7mil
4.Samir Nasri-alinunuliwa kwa 12mil , akauzwa Mancitu kwa 25mil, faida 13mil,
5.Bakar Sagna-alisajiliwa kwa mil 6, kaondoka bure!
Piga hesabu mjanja nani.
mjanja alimfunga mwenzake 6-3.
mjanja aliyechukua ubingwa mara 2, kwa msaada wa wachezaji uliowauza kwake.
Team na wachezaji wa team nisiowapenda duniani basi ni ARSENAL
Tutakutana mwezi Agosti, Mwenyezi Mungu akipenda.
Ndiyo bana, mimi ni #teamBrasil #teamPortugal na #teamGhana ila leo Ureno wameuza mechi walahi!
Tutakutana mwezi Agosti, Mwenyezi Mungu akipenda.
Ndiyo bana, mimi ni #teamBrasil #teamPortugal na #teamGhana ila leo Ureno wameuza mechi walahi!
cleverly to arsenal????????????
cleverly to arsenal????????????
Mbona unashtuka?
.....Mlianza na Van Persie, sasa na Thomas Vermaelen ee?!
hehheh....
cleverly to arsenal????????????
Mbona unashtuka?
Aisee nilijua ile mechi ingeweza kwenda upande wowote nimeshangaa sana kwa bao 4-0, mie ni timu #TeamBrazil, #TeamEngland, #TeamCameroun, #TeamGhana, #TeamNigeria, #TeamAlgeria na #TeamIvoryCoast. Huko mitaani utacheka kwenye magari ya watu unakuta gari ya mtu ina bendera sita za mataifa mbali mbali yanayoshiriki kwenye WC lol!!!! Tuombe uzima Mkuu.
Kaka BAK #Belgium is a team to watch,
Goalkeepers; Courtois aliyeng'ara na Athletico Madrid na Mignolet wa Liverpool,
kisha kuna kina Vertoghen, De Bruyne, Vermaelen, Mirallas, Hazzard Mdogo
ambaye Mourinho anamzimia balaa
hapo bado hujamtaja Hazzard Mkubwa --Eden, Lukaku, Benteke....ebana Wacha kabisa!
Hii squad yao nzuri sana, kazi kwao kucheza ki team zaidi.
Dogo wa ile MID-TABLE team Jazunaj naye anaweza inua jina kwenye World Cup,
he's a Whizz-Kid sema team anayochezea (Man United) siyo kabisa na hili hata Nzi na Belo wanakubaliana nalo
au.....labda Van Gaal "atamrefusha!" akichukua team.
...itakuwa raha #Algeria akishinda ila I also admire #Belgium all the way aisee...😛hoto:😛hoto:😛hoto:
Hahahahahah lol!!!! nimecheka hapo kwenye rangi nyekundu lol!!!! Ahsante sana Mkuu Mbu kwa hii taarifa. Sikuwahi kuwaona Belgium wakicheza kwa taarifa hii nitafuatilia kwa karibu mechi zao zote, hopefully watakuwemo katika 16 bora. Kilichonifurahisha hadi sana katika World Cup hii ni kiwango cha uchezaji ambacho ni kikubwa ukilinganisha na mechi za awali kule South Africa 2010.
CC: Mkuu Nzi