Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

You know nothing about football weye!!!! Vinginevyo usingerupuka eti umetusiwa. Unajua hilo neno la #Mburukenge limeanza kutumika lini hapa jamvini!? Mbona hakuna aliyewahi kulalama kabla yako!? Acha kukurupuka banaaaa!!!!


CHELSEA FC 6 - 0 ARSENAL FC.

safi sana..tukutane uwanjani..
 
Unachekersha sana weye!!!! Unakuwa kama kipofu aliyefumbua macho kwa mara ya kwanza na kukutana na mambo ambayo alikuwa hayajui kama yapo duniani. Matokeo ya hiyo mechi ya miezi chungu nzima eti weye #Mburukenge ndio unashangilia leo!!!! Hahahahaahaha lol!!!! Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya #Mburukengekipofu. Haya endelea kuonyesha #Umburukenge wako.

CHELSEA FC 6 - 0 ARSENAL FC.

safi sana..tukutane uwanjani..
 
mkuu BAK mwenzio ndio kagugo juzi haya matokeo alikuwa hayajui so mwache afurahieeeee,ila kasahau kugugo yale ya 5 za pale darajani akikumbuka atatulia
 
Last edited by a moderator:
na akijua kuwa wamemsajiri fabregas atarudi tena,kama unabisha subiri!
cha kushangaza walipotea toka daraja la mabua lilivyosombwa na gharika la ATL MADRID ndo wameibuka sasa,wavumilie tu hao tumewazoea
 
Habari Gunners...

Natumai mko salama na mnafuatilia Brazuca kwa karibu...

Hivi ni kwa nini AW hamrudishi Joel Campbell?

Dogo yuko vizuri sana
 
kama alipata atamrudisha maana hata kumpeleka olimpiakos ilikua ni kukosa work permit

Well, hope alikuwa uwanjani live kazi kwake.

BqHmuFCCIAIfFI2.jpg
 
mkuu BAK mwenzio ndio kagugo juzi haya matokeo alikuwa hayajui so mwache afurahieeeee,ila kasahau kugugo yale ya 5 za pale darajani akikumbuka atatulia


Mkuu Dully Jr, ni wewe au kuna mtu ameteka anatoa komenti ambazo haziendani na hadhi yako?
wewe kila siku unakuja CHELSEA FC thread unakuta nipo na tunajadili mada mbalimbali za mpira leo na wewe hutambui?

OK.:shock:
 
Emmanuel Adebayor,
Kolo Toure,
Gael Crich
Samir Nasri,




[QUO


TE=agosti 8;9813297]
arsene-wenger-funny-h1n-net.jpg
[/QUOTE]
 
Nadhani mliotazama gem ya japan na ivorycoast mmemwona serge Aurier alivopiga krosi 2 mujalabu zilizozaa magoli. Sasa lile jembe babu analileta next week kuziba kiraka cha sagna
 
Nadhani mliotazama gem ya japan na ivorycoast mmemwona serge Aurier alivopiga krosi 2 mujalabu zilizozaa magoli. Sasa lile jembe babu analileta next week kuziba kiraka cha sagna

Ila kwa huyo Serge Aurier itabidi tufanye fasta maana akifanya vizuri tu, bei yake itapanda zaidi na babu bahili. Ila dogo ni shabiki wa Arsenal hivyo ikatokea tumempata, atakuwa ni mtu ambaye anacheza kwa upendo wa timu. Ni JEMBE kweli.
 
Emmanuel Adebayor,
Kolo Toure,
Gael Crich
Samir Nasri,




[QUO


TE=agosti 8;9813297]
arsene-wenger-funny-h1n-net.jpg
[/QUOTE]

Hapana! Wenger sio talent scout wa Man City, isipokuwa Mancity ni tawi la kuiingizia Arsenal mapato. Ebu cheki hii:
1.Emmanuel Adebayor-alinunuliwa kwa 7mil , akauzwa Mancitu kwa 25mil, faida 18mil.
2.Kolo Toure-alinunuliwa kwa 150,000, akauzwa Mancitu kwa 16mil, faida 15.85mil
3.Gael Cliche-alinunuliwa kwa 250,000, akauzwa Mancitu kwa 6, faida 5.7mil
4.Samir Nasri-alinunuliwa kwa 12mil , akauzwa Mancitu kwa 25mil, faida 13mil,
5.Bakar Sagna-alisajiliwa kwa mil 6, kaondoka bure!
Piga hesabu mjanja nani.
 
Ila kwa huyo Serge Aurier itabidi tufanye fasta maana akifanya vizuri tu, bei yake itapanda zaidi na babu bahili. Ila dogo ni shabiki wa Arsenal hivyo ikatokea tumempata, atakuwa ni mtu ambaye anacheza kwa upendo wa timu. Ni JEMBE kweli.

ndo hicho hata mie nahofia maana wenger keshapokonywa sana tonge mdomoni
 
Unachekersha sana weye!!!! Unakuwa kama kipofu aliyefumbua macho kwa mara ya kwanza na kukutana na mambo ambayo alikuwa hayajui kama yapo duniani. Matokeo ya hiyo mechi ya miezi chungu nzima eti weye #Mburukenge ndio unashangilia leo!!!! Hahahahaahaha lol!!!! Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya #Mburukenge kipofu. Haya endelea kuonyesha #Umburukenge wako.

teh teh teh teh msamehe huyu #Mburukenge mkuu ana matatizo ya kujifanya #mjuvi wa kila jambo kumbe chenga tu.
BTW asikupe shidaa watu tumenyanyua #vikwapa juu kwa heshima zote yeye kwapa lake kabana ndio maana amekaa anajivunia tu matokeo hayo ambayo ndiyo kwaanza yalimsababishia abane kwapa vizuri so hana cha kujivunia msimu uliopita kwa hiyo msamehe huyo mfa maji maana akinyanyua tu kwapa watu wa mazingira washafika fasta.
 
Hapana! Wenger sio talent scout wa Man City, isipokuwa Mancity ni tawi la kuiingizia Arsenal mapato. Ebu cheki hii:
1.Emmanuel Adebayor-alinunuliwa kwa 7mil , akauzwa Mancitu kwa 25mil, faida 18mil.
2.Kolo Toure-alinunuliwa kwa 150,000, akauzwa Mancitu kwa 16mil, faida 15.85mil
3.Gael Cliche-alinunuliwa kwa 250,000, akauzwa Mancitu kwa 6, faida 5.7mil
4.Samir Nasri-alinunuliwa kwa 12mil , akauzwa Mancitu kwa 25mil, faida 13mil,
5.Bakar Sagna-alisajiliwa kwa mil 6, kaondoka bure!
Piga hesabu mjanja nani.[/QUOTE]


mjanja alimfunga mwenzake 6-3.
mjanja aliyechukua ubingwa mara 2, kwa msaada wa wachezaji uliowauza kwake.



 
Back
Top Bottom