Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
#Mburukenge huyu atakuwa jamaa yake Nzi lol!!! maana usongo wake si wa kawaida. Anajua wenye nyumba tuko likizo basi kaona kapata nafasi ya kuosha kinywa.
Kwa hiyo mimi ndiyo mwenye usongo usio wa kawaida?!? Vipi mmejiandaa vipi na miaka mingine ya 'mawimbi' ride chini ya Arsene Chenga?