Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mtaa wa 7 thread yao bado ipo jamani?Mana nimeitafutaaaaaaa bila mafanikio
 
ARSENAL Fc HA HAHA HAA AHHA.. sasa mmekataa kumsajili FABREGAS mkaona afadhali mmchukue FLAMINI?

Hesabu zenu ngumu sana aisee!
Dah Arsenal tumechemsha kwa kutomsaini Fabregas hata kama tuna vifaa vingine kama yeye angetusaidia katika benchi.
 
Acha kukurupuka wewe!!! Unayajua matusi wewe? Hebu niambie hapo lipi ni tusi? Kama lugha inakupiga chenga kaa chini ujifunze. Usivamie mahali bila kujua taratibu za waliokuwepo kabla yako.

6-0 ndo zinafanya utumie lugha ya matusi? alaf na wewe unajiita great thinker?:shock:
 
Acha kukurupuka wewe!!! Unayajua matusi wewe? Hebu niambie hapo lipi ni tusi? Kama lugha inakupiga chenga kaa chini ujifunze. Usivamie mahali bila kujua taratibu za waliokuwepo kabla yako.

ili iweje?
nini maana ya mburukenge?

Kiswahili sanifu; mburukenge = bomla au kenge. sasa mimi kenge?

mark my words ipo siku tutaheshimiana tu.:fencing:
 
Dah Arsenal tumechemsha kwa kutomsaini Fabregas hata kama tuna vifaa vingine kama yeye angetusaidia katika benchi.

....Le Professeur knows better, Nasri, Van Persie na Cpt Fabregas waliondoka kipindi Arsenal tunawahitaji kweli kweli...

Asubirie na yeye arudi arsenal for free (bure gharama!) kama Flamini, otherwise kila la kheri huko aendako.

Hivi sasa hatumhitaji tena, wapo kina Rambo, Chambo na kijana Zelalem kwenye pecking order....

The Legend Rosicky, atakuwepo pale kuwasaidia vijana akisaidiana na Santi Carzola, full stop.


#MosKwito !
 
Acha kukurupuka wewe!!! Unayajua matusi wewe? Hebu niambie hapo lipi ni tusi? Kama lugha inakupiga chenga kaa chini ujifunze. Usivamie mahali bila kujua taratibu za waliokuwepo kabla yako.


kuna tofauti kubwa kati ya umri wa kalenda[calendar age] na umri wa akili[mental age] nadhani umenielewa.
neno mburukenge halikupaswa kutoka kwako wewe unayejidai ni mkongwe hapa jamvini. Tena umri wako wa kuwa hapa tangu 2007 haujakusaidia kabisa ndugu.

Lakini ni dalili ya kuishiwa hoja. tunapaswa kukubaliana kutofautiana, siyo kutoa lugha zenye maana tata.

CHELSEA FC - BLUE FOREVER.:israel:
 
Narudia tena ukifika mahali angalia kwanza utaratibu wa mahali pale kabla ya kukurupuka. Pitia posts za nyuma uone kama kuna yeyote aliyewahi kulalamika kwamba katukanwa kwa kuitwa #Mburukenge. Sikuelewi wewe #Mburukenge


kuna tofauti kubwa kati ya umri wa kalenda[calendar age] na umri wa akili[mental age] nadhani umenielewa.
neno mburukenge halikupaswa kutoka kwako wewe unayejidai ni mkongwe hapa jamvini. Tena umri wako wa kuwa hapa tangu 2007 haujakusaidia kabisa ndugu.

Lakini ni dalili ya kuishiwa hoja. tunapaswa kukubaliana kutofautiana, siyo kutoa lugha zenye maana tata.

CHELSEA FC - BLUE FOREVER.:israel:
 
back to football.
:focus:
MANAGERIAL SILVERWARE
MOURINHO:
Porto: Primeira Liga (2003, 2004); Portuguese Cup (2003); UEFA Cup (2003); Champions League (2004).
Chelsea: Premier League (2005, 2006); League Cup (2005, 2007); FA Cup (2007).
Inter Milan: Serie A (2009, 2010); Italian Cup (2010); Champions League (2010).
Real Madrid: Primera Division (2012); Copa del Rey (2011).
WENGER: Monaco: Ligue 1 (1988); French Cup (1991).
Grampus Eight: Emperor's Cup (1996); Japanese Super Cup (1996).
Arsenal: Premier League (1998, 2002, 2004); FA Cup (1998, 2002, 2003, 2005).
 
lol!!!!! Hahahahahaha #Mburukenge huyu anadai katusiwa!!!! Unakuja mahali badala ya kutulia na kuangalia utaratibu uliokuwepo unaanza kukurupuka na kuandika madudu lol!!!! hahahahahahah bora tuko likizo!!!! au ingekuwa kasheshe hapa 🙂🙂

.....hahahaa, hapana kaka wewe sio kenge, wewe ni mmoja kati ya #MburuKenge ,..... Mkiwa wengi humu tunawaita MburukengeUnited!


#MosKwito !
 
Plus 1 = you get the total number of throphies for Wenger🙂
back to football.
:focus:
MANAGERIAL SILVERWARE
MOURINHO:
Porto: Primeira Liga (2003, 2004); Portuguese Cup (2003); UEFA Cup (2003); Champions League (2004).
Chelsea: Premier League (2005, 2006); League Cup (2005, 2007); FA Cup (2007).
Inter Milan: Serie A (2009, 2010); Italian Cup (2010); Champions League (2010).
Real Madrid: Primera Division (2012); Copa del Rey (2011).
WENGER: Monaco: Ligue 1 (1988); French Cup (1991).
Grampus Eight: Emperor's Cup (1996); Japanese Super Cup (1996).
Arsenal: Premier League (1998, 2002, 2004); FA Cup (1998, 2002, 2003, 2005).
 
lol!!!!! Hahahahahaha #Mburukenge huyu anadai katusiwa!!!! Unakuja mahali badala ya kutulia na kuangalia utaratibu uliokuwepo unaanza kukurupuka na kuandika madudu lol!!!! hahahahahahah bora tuko likizo!!!! au ingekuwa kasheshe hapa 🙂🙂


shabiki wa msimu?:horn:
 
Si unajua usongo wako Mkuu? ila miezi ya karibuni naona ile kauli ya Mkuu Mbu "It is just a game relax Mkuu Nzi" umeipa uzito mkubwa. Vipi lakini unafuatilia World Cup?

Kwa hiyo mimi ndiyo mwenye usongo usio wa kawaida?!? Vipi mmejiandaa vipi na miaka mingine ya 'mawimbi' ride chini ya Arsene Chenga?
 
Last edited by a moderator:
Kumbe wewe unaona madudu?:iamwithstupid:

lol!!!!! Hahahahahaha #Mburukenge huyu anadai katusiwa!!!! Unakuja mahali badala ya kutulia na kuangalia utaratibu uliokuwepo unaanza kukurupuka na kuandika madudu lol!!!! hahahahahahah bora tuko likizo!!!! au ingekuwa kasheshe hapa 🙂🙂
 
respect the game of football; talk football.:whip:

lol!!!!! Hahahahahaha #Mburukenge huyu anadai katusiwa!!!! Unakuja mahali badala ya kutulia na kuangalia utaratibu uliokuwepo unaanza kukurupuka na kuandika madudu lol!!!! hahahahahahah bora tuko likizo!!!! au ingekuwa kasheshe hapa 🙂🙂
 
You know nothing about football weye!!!! Vinginevyo usingerupuka eti umetusiwa. Unajua hilo neno la #Mburukenge limeanza kutumika lini hapa jamvini!? Mbona hakuna aliyewahi kulalama kabla yako!? Acha kukurupuka banaaaa!!!!

respect the game of football; talk football.:whip:
 
Back
Top Bottom