Fungu limetengwa Paun 100 mil kwa ajili ya usajili wachezaji 5 wenye majina makubwa...hiyo keshapromic Prof.
Target ya Wenger Msimu ujao ni makombe na si vinginevyo, coz uhai wa mkataba wake mpya ni Unyakuaji wa Makombe!! So asiposajili means inakula kwake!! Ngoja tuone,mistakes will never be Repeated@@!!Ni good news mkuu though ni ukweli kuwa mara nyingi wachezaji wanaotajwa mara kwa mara katika media kuwa watasajiliwa na arsenal inakuwa kinyume chake, but yote kwa yote tuvute subira naamini baada ya World cup kuna mengi yatatokea.
Fungu limetengwa Paun 100 mil kwa ajili ya usajili wachezaji 5 wenye majina makubwa...hiyo keshapromic Prof.
Hapana Mkuu, nilishaeleza tangu mwanzo...Uhai wa Wenger sasahivi ni kuti kavu, ni Kuleta vikombe tu...NOTHING ELSE, so akifanya kwa mazoea anajichimbia mwenyewe kaburi, so hata tukipata wacheza wa3 wakubwa na wawili average players is more than enough!! We can win another trophy...Hahahaaa , nyie mtaa wa 7 sijaona mikakati yenu.Wachezaji wenye majina makubwa sio chini ya £ mil 30 so anaweza pata kama 3,Kama kawaida yake Wenger atanunua wachezaji walewale anaonunua siku zote
Hapana Mkuu, nilishaeleza tangu mwanzo...Uhai wa Wenger sasahivi ni kuti kavu, ni Kuleta vikombe tu...NOTHING ELSE, so akifanya kwa mazoea anajichimbia mwenyewe kaburi, so hata tukipata wacheza wa3 wakubwa na wawili average players is more than enough!! We can win another trophy...Hahahaaa , nyie mtaa wa 7 sijaona mikakati yenu.
amepatikana kocha makini yaleyale magarasa yanaweza kufufuka tukagawa dozi
Amepatikana kocha makini yaleyale magarasa yanaweza kufufuka tukagawa dozi
Sasa wewe yaache hayo magarasa tuje kushuhudia yanavyotoa dozi.
Kumbuka hayo magarasa yalimpa dozi Wenger
Fungu limetengwa Paun 100 mil kwa ajili ya usajili wachezaji 5 wenye majina makubwa...hiyo keshapromic Prof.
Goal.com is not a trust source of info...sorryKama kawaida Wenger wachezaji wake wenye majina anawapata kwao Ufaransa
Arsenal on brink of clinching £7m Aurier deal - Goal.com
Goal.com is not a trust source of info...sorry
Kama kawaida Wenger wachezaji wake wenye majina anawapata kwao Ufaransa
Arsenal on brink of clinching £7m Aurier deal - Goal.com