sawa lakini historia ya wenger inajionyesha kwamba huwa hafanikiwi kaika usajili kwa kusajili eneo lenye tatizo as we all know tokea rvp ameondoka arsenal bado hamjasettle kwenye striker wa uhakika kwa kocha mwerevu wa kutoshaangesajili striker dirisha kubwa (still sielewi mlimkosaje higuain) au mngesajili kwenye dirisha dogo lakini mpk sasa bado bilabila na kwa wenger ninavyomjua its hopefully angemtegemea sanogo na giroud so mptakuwa hamjsolve tatizo though tusubiri usajili uishe ila wenyewe wanakwambia experince is the best teacherNashukuru kwa kutambua hilo mkuu so kwa sasa hupaswi kusema kuwa Arsenal hataingia hata top 4 wakati ukiangilia kwako wewe kwa kiasi kikubwa unahitaji kufumua kikosi chako kwa asilimia zaidi ya 70 wakati wenger anahitaji wachezaji wanne au watatu.
inaweza ikaumazaidi ya hii
![]()
Dah!mtaa wa 7 pamotooooo.......yan manure wakichukua epl mwakani nipigwe ban la milele....hawa top 4 wataitafuta kwa tochi
hahaahah yaleyaleI discussed with you this matter here>>>>
https://www.jamiiforums.com/sports/871-arsenal-special-thread-1729.html#post9573336
this season we expect to have a Double by winning the shield when Man City will be shelled.
hujajibu swali inawea kuuma zaidi ya picha hapo juu!! teh teh teh
inaweza ikaumazaidi ya hii
![]()
Una moyo au jiwe?duh!
man u we can forget that arsenal did win fa last season bt,arsenal players cant forget this(the picture above)
i remember ila sio kuwapigia makofi kama arsenal players walivyompigia makofio their former teammate it means a lot dude just figure it outMndengereko Unasahau mapema..
Umesahau 2001-2 pale OT??
Mnaishia kusema huyu tulikuwa tumsajili mwaka juzihuwa tunasajili mwishoni mwishoni