Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

enzi zinaisha kwa ubingwa?
Nyie uguzeni vidonda vya kutoka kapa msimu uliopita,sie wacha tuenjoy


hata sisi tunainjoi kivyetu vyetu.

kuwafunga midomo: Man Utd, LIverpool fc, Man city fc, Arsenal fc, Spurs msimu mzima raha iliyoje!🙂
 
Katika mechi za msimu uliopita yaani msimu wa 2013-2014.
CHELSEA FC vs ARSENAL FC tumekutana mara 3.

Kwenye capitol one cup - Emirates Stadium.

Chelsea 2 - 0 Arsenal fc.
Cheki master baada ya kutoa kichapo.

ad_119257768.jpg


Mechi ya pili kwenye premier league: Emirates Chelsea Fc 0 - 0 Arsenal Fc.

Mechi ya tatu Stanford Bridge - SW London.

Chelsea fc 6 - 0 Arsenal Fc.

Kwa msimu mzima ARSENAL FC hawajafunga hata goli moja kwenye mechi ya Chelsea fC.:israel:
 
Katika mechi za msimu uliopita yaani msimu wa 2013-2014.
CHELSEA FC vs ARSENAL FC tumekutana mara 3.

Kwenye capitol one cup - Emirates Stadium.

Chelsea 2 - 0 Arsenal fc.
Cheki master baada ya kutoa kichapo.

ad_119257768.jpg


Mechi ya pili kwenye premier league: Emirates Chelsea Fc 0 - 0 Arsenal Fc.

Mechi ya tatu Stanford Bridge - SW London.

Chelsea fc 6 - 0 Arsenal Fc.

Kwa msimu mzima ARSENAL FC hawajafunga hata goli moja kwenye mechi ya Chelsea fC.:israel:

hujajibu vizuri swali langu,hizo 6 mlifunga wapi na hizo 5 mlifungwa wapi?usiruke vipengere vya swali mkuu
 
kuna tofauti kubwa kati ya TIMU KUBWA na TIMU BORA.
arsenal timu kubwa; CHELSEA FC TIMU BORA.

timu bora ya uwoga na mpira mbovu usiokuwa na formation?kila mchezaji mnataka nyinyi kwa kuogopa akisajiriwa na timu nyingine ya epl itakuwa shidah kwenu,
na mandzukic pia mwamtaka!costa?mwisho yanaishia kuwa maflop mnayatoa kwa mkopo,hv yule van ginker yupo?
 
timu bora ya uwoga na mpira mbovu usiokuwa na formation?kila mchezaji mnataka nyinyi kwa kuogopa akisajiriwa na timu nyingine ya epl itakuwa shidah kwenu,
na mandzukic pia mwamtaka!costa?mwisho yanaishia kuwa maflop mnayatoa kwa mkopo,hv yule van ginker yupo?


Ndugu yangu Dully Jr, punguza hasira. mwenzako Mpigazeze kasema sisi ni timu ndogo, mimi sijakataa wala kujibu vibaya. Mimi nilichosema tu ni kwamba sisi ni timu ndogo sawa; lakini sisi ni timu bora.
Kama nyinyi Arsenal fc pia ni timu bora sawa tu hakuna haja ya kufoka. rekodi zinaonyesha sisi tuko makini na mashindano yote tunayoshiriki.


CHELSEA FC kiboko yao.
 
timu bora ya uwoga na mpira mbovu usiokuwa na formation?kila mchezaji mnataka nyinyi kwa kuogopa akisajiriwa na timu nyingine ya epl itakuwa shidah kwenu,
na mandzukic pia mwamtaka!costa?mwisho yanaishia kuwa maflop mnayatoa kwa mkopo,hv yule van ginker yupo?

Maswali:
1. Hakuna mchezaji ambaye ARSENAL imesajili akawa FLOP?
2. Je, Arsenal fc huwa haina wachezaji wanaoenda nje kucheza kwa mkopo?


 
timu bora ya uwoga na mpira mbovu usiokuwa na formation?kila mchezaji mnataka nyinyi kwa kuogopa akisajiriwa na timu nyingine ya epl itakuwa shidah kwenu,
na mandzukic pia mwamtaka!costa?mwisho yanaishia kuwa maflop mnayatoa kwa mkopo,hv yule van ginker yupo?

nyani haoni....

vipi hawa?
GERVINHO. mlimnunua kwa paundi milioni 10, mkamuuza kwa paundi milioni 8.huyu alikuwa FLOP AU HAKUWA?
MAROUANE CHAMACK. vipi huyu jamaa?
FRANCIS JEFFERS, mlisajili toka EVERTON mwaka 2001 bonge la FLOP.
ANDREY ARSHAVIN, vipi huyu imekuaje tena?
PARK CHU-YOUNG..mlidhani kila MKOREA ni mchezaji wa kusajili..

ha hahaha..MSIDHANI HATUJUI YA KWENU MAJIRANI..TULIENI.:israel:
 
timu bora ya uwoga na mpira mbovu usiokuwa na formation?kila mchezaji mnataka nyinyi kwa kuogopa akisajiriwa na timu nyingine ya epl itakuwa shidah kwenu,
na mandzukic pia mwamtaka!costa?mwisho yanaishia kuwa maflop mnayatoa kwa mkopo,hv yule van ginker yupo?

NYINYI PIA MNATOA WACHEZAJI KWA MKOPO:


IGNASI MIQUEL
DAMIAN MARTINEZ
CHUKS ANEKE
JOSH VICKERS
FRANCIS COQUELIN
JOHAN DJOUROU
JOEL CAMPBELL
WELLINGTON
BENIK AFOBE
DANIEL BOATENG
JU YOUNG PARK
ZACHARIA FAGAN

wako kwa mkopo, je hawa pia ni MAFLOP?:mmph:
 
nyani haoni....

vipi hawa?
GERVINHO. mlimnunua kwa paundi milioni 10, mkamuuza kwa paundi milioni 8.huyu alikuwa FLOP AU HAKUWA?
MAROUANE CHAMACK. vipi huyu jamaa?
FRANCIS JEFFERS, mlisajili toka EVERTON mwaka 2001 bonge la FLOP.
ANDREY ARSHAVIN, vipi huyu imekuaje tena?
PARK CHU-YOUNG..mlidhani kila MKOREA ni mchezaji wa kusajili..

ha hahaha..MSIDHANI HATUJUI YA KWENU MAJIRANI..TULIENI.:israel:

jamani tuachieni chama letu..........
 
jamani tuachieni chama letu..........


Mkuu Ulimakafu hupendi wageni wewe?
Mie nawatembelea kuwasalimia jamaa zangu akina Sizinga, na Dully Jr, hatuna ugomvi;hizo ni hoja nzito nzito za kimichezo.
Soka si uadui.

au hamtaki nije hapa?:smile:
 
Back
Top Bottom