Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,261
- 1,253
Podo katupia la 3
Come on Gunners.
Podo katupia la 3
Podoskiii goooo... Dak ya 53 hul 0 - 3 ars
Kumbuka hawa Jamaa tunakutana nao fainali ya FA tarehe 17/5 mwaka huu pale Wembley
Na sisi huku leo tunaua mtu;
Da Gea, Jones, Smalling, Evance, Buttner, Carrick, Nani, Mata, Kagawa, Fletcher, Rooney.
Sub: Lindergaad, Giggs, Valencia, Fellaini, Januzaj, Hernandez, Welbeck
Hahaaa oyooo! Ni 12 kamili jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki.
Kama Wenger ataendelea kuwepo hata ule ubingwa wenu mlioutetea kwa miaka 10 mtaanza kuukosa
Ni 18:05 sio kamili.
Mkuu unafanya wenzako watamani usingeandika hayo maneno juu hehehehe hata jela za ukonga wanajua game za mpira zimefikiaje mkuu Leo sio FA cup!Kwani leo si FA final jamani au vipi?na kinachogombewa hapo si kombe au nini?ndiyo ndoo niliyomaanisha c'umoooon gunners
Penalt ile sababu ingekuwa nje ni foul ukiwapa timu nafasi ikavunjika siunarudi ile sehemu ya foul? Wengine urefa tunaogopa kurukiwa mbili!Duh hatupati penati hata tukivunjwa ndani ya 18